mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,804
Kunguni wana magonjwa lakini kama sikosei...Mimi fighter nazurura maeneo mbalimbali, kwenye harakati zangu sometimes nalala sehemu ngumu, kama mtu kazi sichagui kambi
Kunguni wana magonjwa lakini kama sikosei...Mimi fighter nazurura maeneo mbalimbali, kwenye harakati zangu sometimes nalala sehemu ngumu, kama mtu kazi sichagui kambi
Magonjwa gani?Kunguni wana magonjwa lakini kama sikosei...
Hey..
Wewe kweli kiboko. Mwanamke wa shoka.Nimetolea mfano tu! Sijui kama ni sifa nzuri..
Hahha au sio!
Umeshasema sana ushaona najali?
Kwasabu gani sasa?Wewe kweli kiboko. Mwanamke wa shoka.
Sijui ila wanatisha aisee.Magonjwa gani?
Sio mahali permanent ni pa siku chache , na sio kambi yao huyu mmoja tu alipotea njia nikamdaka.Safi sana! Basi usiwachekee hao wadudu siwapendi! wanang’ang’aniaga ndani kama mnalipa wote kodi! Nina rafiki yangu wamemsumbua sana mpaka anataka kutupa kitanda!
Wanaboa tu kunyonya damu na unawashwa ila sidhani kama unaugua!Sijui ila wanatisha aisee.
I missed you.Hey..
Yani ni kheri uhame! Kama ni huyo tu atakuwa anajipitia zake au katumwa na ancestors aje akusabahi😁jox..Sio mahali permanent ni pa siku chache , na sio kambi yao huyu mmoja tu alipotea njia nikamdaka.
Wale mziki wake mzito , siwezi kulala sehemu yenye wale wadudu Bora mtu ulale chini
Umepangua hoja zangu kiulaini kabisa.Kwasabu gani sasa?
Sema sikubaligi kushindwa ndio weakness yangu kubwa! Ko nitatafuta tu hata useless point niichomeke😁Umepangua hoja zangu kiulaini kabisa.
Aww am glad to hear that.. u gud?I missed you.
Good too.long time we haven’t been in touch.Aww am glad to hear that.. u gud?
Uongo tu😆Nimekutafuta haupo hewani
Its good that here we are again!Good too.long time we haven’t been in touch.
Sitaki kuingia online bwana!😒Angalia saasa