Mke atoka kujifungua,mume amuacha mkewe apone na kuwa sawa kabla hajaanza kuichapa,nyuma ya pazia junior anajichapia
Mapenzi hayajawahi kuwaacha binadamu salama,kama unataka kuwa salama basi jiweke mbali na kitu kinachoitwa mapenzi, yes jiweke mbali nayo kama utaweza,lakini the moment unaanza kupenda basi lolote linaweza kutokea
Naam! Ni mke wa mwanajeshi ambaye muda si mrefu sana alitoka kujifungua
Mume ni msoja ambaye huwa anasafiri mara kwa mara kutokana na majukumu ya kikazi
Ni mume ambaye anabeba majukumu yote kama mume,kuhakikisha wanaoenda shule wanaenda,na vile vile kwa upande wa ukweni Mashaallah nako huwa anawacheki sana tu,anasema kila mwisho wa mwezi basi hutuma muamala kwa mama mzaa chema,yes mama aliyemzalia tamu yake.
Ila upande wa pili wa shilingi wife amenasa kwa junior,yes mtoto wa shule huyu,ambaye mke huyu humlipia hostel
Mume baada ya kuona mkewe kajifungua basi alimpa mkewe nafasi ya kuimarika kiafya kabla hajaanza kuichapa
Lakini guess what? Junior yeye hakusubir kama mume alivyosubiri,ila junior yeye aliendelea kuichapa kwa raha Zake
Meseji kadhaa ambazo zilikutwa kwenye simu ya wife ndio zikaweka kila kitu ubaoni.
Text mojawapo junior baada ya kuichapa,akamtext mshangazi na kumwambia "vipi umefika salama,maana niliona kama umejam"
Mshangazi ambaye ni mke wa mjeshi akajibu " nimefika salama,nimejam kwasababu umeniumiza sana,nilikwambia naumia lakini wewe hukusikia"
Text ikaendelea kusema "yani nimeumia na nina breed kweli,sijui nitamwambi nini mume wangu"
Junior akajibu kwa kuomba radhi na kusema "naona ni bangi hizi sijui ndio zimenifanya niwe hivyo"
Kumbukeni huyu mke ametoka kujifungua hivi soon,lakini junior akaichapa sana kiasi ambacho ilitibua kidonda cha uzazi na hata alipoambiwa na mshangazi kwamba nasikia maumivu,junior hakuelewa somo.
Kuna text junior anasema "naomba unitumie shilingi 500" mke wa mjeshi akamjibu junior
"Yani jana tu nimekupa shilingi 500 na leo hela imeisha,ebu tumia hela kwa uangalifu" ambayo ni sawa na shilingi 10,200 ya Tanzania
Text nyingine Junior anasema kwamba anampenda sana mshangazi,na mke wa mjeshi anajibu kwa kumpa madongo junior "wewe unasema unanipenda kwa kuwa nakupa hela zangu"
Text nyinginge wakawa wana ratibu mpango wa kwenda kulombana
Text ya wife ya mjeshi ikasema " Kesho tukutane tujaribu maana naona kama nimepona pona"
View: https://youtu.be/WkUNaFwk71A?si=gIQvM7tG7i7BSwhk
Swali kwako mume, huenda mkeo ndio katoka kujifungua now,je utasubiria muda gani mpaka uanze harakati za kuichapa tena?
Jibu baki nalo mwenyewe
Alamsiki!