de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,726
- 21,314
Sasa inabidi tupendane tu hamna namnaDah haya maisha bana tunapita tu! Ukifa hauna maana tena!š„²
Sasa inabidi tupendane tu hamna namnaDah haya maisha bana tunapita tu! Ukifa hauna maana tena!š„²
Nikiwa kwa zenašHapa Goba ni usiku wa manane tayar,unateseka ukiwa wapi
KabisaSasa inabidi tupendane tu hamna namna
Nimegundua I fumbled you mwanikeKabisa
wala hata be at peace lads.Nimegundua I fumbled you mwanike
Ndio wapi huko,hizo chochoro mie sizijuiNikiwa kwa zenaš
Huku vichochoroni mbezišNdio wapi huko,hizo chochoro mie sizijui
Am saddened that we'll never be who we're were.wala hata be at peace lads.
Maybe not ur hobby!Aisee mie sijui ndio sipendi mpira au vipi,yani kama nimewahi kuangalia kombe la dunia la mwaka huu basi ni dakika 15 tu tena nikiwa restaurant napata dinner
Duh labda nitakuja kucheki fainali
Donāt be, we can interact where necessary!Am saddened that we'll never be who we're were.
I don't think you're ever gonna see me as trustworthy, but I promise to never fumble you everDonāt be, we can interact where necessary!
Kijana nakuona unaendea mshangazi.Sasa inabidi tupendane tu hamna namna
Why does it matter to u that much? Kuwa na amani bwana so many people in here! Mtu mmoja asikupe headache kabisa!I don't think you're ever gonna see me as trustworthy, but I promise to never fumble you ever
Wivu tu kama kawaida yako nyoohšKijana nakuona unaendea mshangazi.
Unataka kuonja asali ya nyuki wakubwa.
Hahahaha huyo mtu wangu wa faida kabisa. šKijana nakuona unaendea mshangazi.
Unataka kuonja asali ya nyuki wakubwa.
Aisee wale jamaa walokufanya uende off kumbe ulikuwa sahihi kabisa I thought utani mwanikeWhy does it matter to u that much? Kuwa na amani bwana so many people in here! Mtu mmoja asikupe headache kabisa!
Hawa wacheza rafu wanasemwaga sana ila maisha yao huenda vizuri tu.Wadau wa usiku wa manane, niaajeee!
Hope mko gud au sio? Binafsi nipo zaidi ya gud, shukrani za dhati ziende kwa Muumba wetu.
Leo bwana nataka tugusie kidogo ile tabia ya hovyo kabisa ya "kuharibiana ili wewe uonekane msweet." Yaani unamchongea mwana ili tu bosi akuone wewe ndio mfanyakazi bora wa mwezi. Huu mchezo hauko poa hata kidogo, na cha kusikitisha ni kwamba unazikuta hizi dharau sana huko kwenye ma-vibe ya vibaruani na sehemu zetu za kutafutia riziki.
Sasa swali la msingi la kujiuliza kiongozi wangu:
Hivi ukimharibia mwenzako, ndio utachukua nafasi yake hapo kijiweni?
Ndio utapandishwa cheo na kupewa ofisi kubwa?
Au ndio malupulupu yako yataongezeka uturudishie chenji mtaani?
Jibu ni NO. Unachobaki nacho ni roho yako mbaya na dhambi ya bure. Unashusha brand ya mwenzako huku ya kwako ikibaki palepale chini.
Acheni hizo asee. Riziki ya mtu haijawahi kuziba ya kwako. Tuache roho mbaya, tuache kuwaharibia watu ramani zao za maisha.
Alamsiki!
Its like death, itamgusa kila mmoja.. muda ni dawa!Aisee wale jamaa walokufanya uende off kumbe ulikuwa sahihi kabisa I thought utani mwanike
Aloo wamenijia wengi kama nzige shambaniIts like death, itamgusa kila mmoja.. muda ni dawa!