Lala chief01:24
Ni ulalaviJamani leo nimelala na mtoto wangu, analala vibaya sana. Hivi huu ni ugonjwa?
MfundisheJamani leo nimelala na mtoto wangu, analala vibaya sana. Hivi huu ni ugonjwa?
2:16 Sina usingizi umeme umekata mbaya zaidi niko sober.Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Wacha uzembe bhana, jipatie pisi hapo jirani chap2:16 Sina usingizi umeme umekata mbaya zaidi niko sober.
Ha ha haaa, nikavute malaya au sio?Wacha uzembe bhana, jipatie pisi hapo jorani chap
Usisahau condom broo, 🔥 siyo kabisaaHa ha haaa, nikavute malaya au sio?
Noma sana hizi pisi za mjini ukimwi na gono vipo karibu sana.Usisahau condom broo, 🔥 siyo kabisaa
Yaani analala huku anapiga piga miguu. Hii huwa inaisha? Maana ananipiga matekeNi ulalavi
Anafanya akiwa usingizini, namweka Sawa baada ya dk 3 anarudia. Yaani lazima ahisi kuna kitu kipo hivyo kukitafuta kwa miguu, akikushika na mkono anatekenya yaani kama anakukuna softlyMfundishe
Dah..Anafanya akiwa usingizini, namweka Sawa baada ya dk 3 anarudia. Yaani lazima ahisi kuna kitu kipo hivyo kukitafuta kwa miguu, akikushika na mkono anatekenya yaani kama anakukuna softly