[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hivi mnajua mama zetu pia wanajuaga mapema sana kama pisi tuliopeleka nyumbani kuitambulisha kuwa sio kabisa yani ile kuwa hapa mwanangu kakosea kuchagua na tukipatia mama anajua huyu ni wa ukwel anakuambia hapa mwanangu umechagua sema vijana wengi huwa tuna ignore fellings na thoughts za wazazi wetu tunajuaga always mzazi anataka kuweka rohoo ngumu tu, lakini mara nyingi hao wanawake wanakujaaga kuwa wasumbufu pasua kichwa na saa zingine mpaka anakufanya ufilisike[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
SipeNDI kuoGA fundi bishoo