Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Kumbuka bado tuna mafuta mkononi kwajio cwewe kula ukipendacho02:15 njaa wakuu
Kumbuka bado tuna mafuta mkononi kwajio cwewe kula ukipendacho02:15 njaa wakuu
Leo kama hujaloa in harmonize's voice utaloweshwaaa ndembendembeMatango huwa sipendi kuyamenya maganda.. Yani nile na ganda lake ndo traam[emoji23]
Hauna chakula hapo? Au unasubiri morning glory 😂😂😂02:15 njaa wakuu
Mimi nishazoea english yako hii hapa umeandiks nini mkuuAmua vyema, ukikosea unazama maji.
Yupo mwalimu humu ni jobless anaweza lifundisha vyema likabukua had ukashangaa.🤣🤣🤣🤣Halijambo toto halitaki shule aisee
Anacho kishakilipia alisema. Sasa sijui aanataka sahani 3!!!Hauna chakula hapo? Au unasubiri morning glory 😂😂😂
Azis kwanguKaribu mkuu ila hapa tunazungusha Meza kwa zamu
Ahhh muyamalize nyie wenyewe ,mimi namjeuza mama mchungaji aniambie kama tunaendelea au kachoka kusomaMchungaji tunaomba upatanisho na ndugu yetu Intelligent businessman tumekosa sisi tumekosa sana watu wa dar
Nana ulikua umelala ukasikia sauti za wahuni ukaamka02:07
Mchesho wote umekwisha tumboni, hapa hakuna cha morning glory ni kata mti panda mtiHauna chakula hapo? Au unasubiri morning glory 😂😂😂
Dah kwahio unapenda hili bifu lisonge mbelrAhhh muyamalize nyie wenyewe ,mimi namjeuza mama mchungaji aniambie kama tunaendelea au kachoka kusoma
Ila sisi tutachelewa sana kufika mbinguni [emoji1316][emoji1316][emoji1316][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimejaribu sana kuwaombea ila mnanishinda tabia nyie kondoo ngoja niibe ujuzi usioumuzia nimpatie mama mchungaji endeleani na vilimo vya tango ,tikitimaji nimevisoma vizuriBaba Mchungaji Iceberg9 ombea vijana wako. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kwaio unaongeza sahani ya 3?😂😂Mchesho wote umekwisha tumboni, hapa hakuna cha morning glory ni kata mti panda mti