JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Huwa nakumbukaga tu pale baba yake alipokuwa amekufa wakawa wamekaa na maiti ndani kwao anamuimbia baba
"Sleep now,Father sleep now "

Aisee nilitokwa na chozi eti japo sio la sauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂Jamani..hivi Kuna machozi ya sauti??
Ilisikitisha Sana ila unakumbukumbu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mkaka embu acha vunja mbavu zangu usiku wote huu
Hahahahaha cheka sana bibie walau inaongeza uimara wa mbavu zako..

Kucheka hakuwezi kuzivunja isipokuwa ukiwa unabeba vitu vizito,[emoji1324][emoji1324][emoji1324][emoji1324]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom