JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

usiwe mvivu katika kusali hommie.
Sio mvuvi ila kesho saa 4 tuna misa ya kusherehekea sikukuu ya mtakatifu qa jumui fulani. So lazima nishiriki kwa 90%.
Karibu 70%ya siku za wiki hua niko kanisani (Naimba kwaya, mazoezi kwa wiki siku 4)
Halafu kesho pia ni zamu ya kwaya kusafisha kanisa ajili ya ijumapili. So kesho mpaka 8 hivi ni mishe za kanisa tu
 
Sio mvuvi ila kesho saa 4 tuna misa ya kusherehekea sikukuu ya mtakatifu qa jumui fulani. So lazima nishiriki kwa 90%.
Karibu 70%ya siku za wiki hua niko kanisani (Naimba kwaya, mazoezi kwa wiki siku 4)
Halafu kesho pia ni zamu ya kwaya kusafisha kanisa ajili ya ijumapili. So kesho mpaka 8 hivi ni mishe za kanisa tu
Safi sana,kijana utakuwa , viwawa wewe sio

MTC | 101| [emoji769]
 
Baraka hizo.
Sio mvuvi ila kesho saa 4 tuna misa ya kusherehekea sikukuu ya mtakatifu qa jumui fulani. So lazima nishiriki kwa 90%.
Karibu 70%ya siku za wiki hua niko kanisani (Naimba kwaya, mazoezi kwa wiki siku 4)
Halafu kesho pia ni zamu ya kwaya kusafisha kanisa ajili ya ijumapili. So kesho mpaka 8 hivi ni mishe za kanisa tu
 
Back
Top Bottom