JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hahahaha, hy alkasusu ni nn na kwa nn wanauza masheikh tu ?

MTC | 101| [emoji769]
Kwasababu unga wake huuzwa misikitini sana, hivyo watu huvaa kanzu kupata access ya kuingia msikitini ili wanunue

Lakini kitu kingine ni kwamba hawa watu wanaaminika sana kwamba mtu akivaa kilemba na kanzu basi ni mtu aliyeshika dini haswa hivyo hawezi kuchakachua alkasusu kwa kuweka maji mengi na kuinyima maziwa

Ukiwa mbugira mbugira kama mimi hapa umepiga bonge la shati umekula na jinsi yako chini unaburuza sneaker halafu mkononi umeshika themosi za alkasusu hapo hakuna biashara mzee

Watu watajua alkasusu yako umeichakachua
 
Hahahaha ,bia = mvinyo
Kuwategemeza makatekista kivipi ?

MTC | 101| [emoji769]
Mwenye chochote hua anapeleka pale mbele kuwapatia makatekista ili nao wajikimu. Since muda mwingi wanautumia kanisa kufundisha watoto na watu wenye mahitaji.
So mwenyenacho unapeleka.
Mara nyingi wskati wa sikukuu viwawa hua wanawavisha makatekista na wake zao
 
Kwasababu unga wake huuzwa misikitini sana, hivyo watu huvaa kanzu kupata access ya kuingia msikitini ili wanunue

Lakini kitu kingine ni kwamba hawa watu wanaaminika sana kwamba mtu akivaa kilemba na kanzu basi ni mtu aliyeshika dini haswa hivyo hawezi kuchakachua alkasusu kwa kuweka maji mengi na kuinyima maziwa

Ukiwa mbugira mbugira kama mimi hapa umepiga bonge la shati umekula na jinsi yako chini unaburuza sneaker halafu mkononi umeshika themosi za alkasusu hapo hakuna biashara mzee

Watu watajua alkasusu yako umeichakachua
Hahahaha ,kweli kila biashara ina mbinu zake, ndio wanasema huongeza nguvu za kiume?

Halafu haya madawa Mengi ya kutibu hizo nguvu ni za masheikh kwann ? Yaani zinauzwa misikitini zaidi

MTC | 101| [emoji769]
 
Nomba Link online kama ipo
Ali Kiba ana mashabiki wengi na hela nyingi kuliko msanii yeyote Afrika sema tu hapendi show off
Kama wananiona wanipe kibarua asee..
Inapendeza kwaya ya wapi? Inabidi nitafute nyimbo zenu

MTC | 101| [emoji769]
Hizo hizo mkuu..
30 nitapeleka vipaji kwa padri..

Nyinyi mungu wenu kawawekea usiku ili mpumzike nyie mnautumia kuchati sio???

Niwasemee? Semeni suuu
 
Mwenye chochote hua anapeleka pale mbele kuwapatia makatekista ili nao wajikimu. Since muda mwingi wanautumia kanisa kufundisha watoto na watu wenye mahitaji.
So mwenyenacho unapeleka.
Mara nyingi wskati wa sikukuu viwawa hua wanawavisha makatekista na wake zao
Ooh ,hivi katekista hana mshahara? Huwa yuko chini ya nani ? Mie huwa nafanyaga vile nazigawa km nilivyosema

MTC | 101| [emoji769]
 
Hahahaha ,kweli kila biashara ina mbinu zake, ndio wanasema huongeza nguvu za kiume?

Halafu haya madawa Mengi ya kutibu hizo nguvu ni za masheikh kwann ? Yaani zinauzwa misikitini zaidi

MTC | 101| [emoji769]
Aah sijawahi ku prove hilo kwaiyo sijui kama lima ukweli wowote, ila nachojua inasifiwa kua ni dawa ya u.t.i
 
Back
Top Bottom