JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Mama amekusikia ujue.
Nilisha mwambia kua kwanini msiunde kamati ya ubebaji viti kwenye hiyo jumuiya?

Kama imewezekana kuchangishana mpaka kununua vitu inashindikana vipi kuteua wabebaji?

Akaishia kusema tu kwenye kazi ya bwana hautakiwi kusema umechoka au unateseka unatakiwa ujitoe kiukweli kweli

It's Scars
 
Back
Top Bottom