Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,442
- 110,068
Sisi ipo hivi. Leo si wanasali kwetu basi nyumba itakayofuatia ndio wanabeba viti vinaensa kukaa kwao hadi siku ya ibada tena.Kufagia nakua mgumu kidogo na hilo swala maza analijua, kuna siku niliepuka msala wakubeba viti kwa kulala kwenye geto la mshkaji
It's Scars
Kupanga vitu lazima maza atuamshe maana yuko mwenyewe