simiss
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 2,100
- 6,170
True
True
Fanya hivyo usitumie tu MS WORD,EXCEL PPOINT, ACCESS, PUBLISHER NK...Ni kweli itabidi nijue maana ,im obsessed with digital life ila sijui hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
Fanya hivyo usitumie tu MS WORD,EXCEL PPOINT, ACCESS, PUBLISHER NK...
[emoji23][emoji23][emoji23] dah.View attachment 1311639
Ulimwengu wa Samaki Mkubwa anamla Mdogo
Maeneo flani ya Songea kwa angani
Kitu kimenishindwa ni kufake once nilikuwa hivyo wakati nasoma nikaenda field nafake life nikakutana na watu wanaishi maisha real nayo fake mtu mshahara 650k, 1.5M, 2.5M alafu unapiga nao story [emoji23][emoji23][emoji23] niupuuzi ulikuwa wallah zaid niwako humble sana nikabadilikia hapo.Then huna cha kuficha na upo real humu. Unajiamini personally. Mimi nina tendency ya kuchat na watu wenye situations ambazo si nzuri na mara nyingi huwa nawafungukia kuhusu life langu black and white. Sasa nikisema niweke jina langu halisi itakuwa mtihani bro
ww unatumia 2007?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu. Mambo ya chuo ni kufake kwingi ili kupata acceptance. Inatokea mkuuKitu kimenishindwa ni kufake once nilikuwa hivyo wakati nasoma nikaenda field nafake life nikakutana na watu wanaishi maisha real nayo fake mtu mshahara 650k, 1.5M, 2.5M alafu unapiga nao story [emoji23][emoji23][emoji23] niupuuzi ulikuwa wallah zaid niwako humble sana nikabadilikia hapo.
Kama haiko sawa hivi [emoji115][emoji115]Do think they know about us they ain’t know
Rudi kule kwenye lindo lako.Story zimekuwa nyingi humu,kazi hamfanyi kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya wtt sikuhizi ndio wanaishi hivyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pole mkuu. Mambo ya chuo ni kufake kwingi ili kupata acceptance. Inatokea mkuu
TrueMaisha Matokeo
Dah bibie uko mbali sana kwenye huu ulimwengu unaonekana [emoji17]
Kabisaa kuna watu life unaloliigiza kwao bado ni shit life. Bora ukae kwenye lane yako maana kwanza unakuwa na peace of mind.[emoji23][emoji23][emoji23] mambo ya wtt sikuhizi ndio wanaishi hivyo.