Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,491
Na jina la Bwana lihimidiwe!!Nanyi pia popote mlipo.
Zaburi 116
12 Nimrudishie BWANA niniKwa ukarimu wake wote alionitendea?
13 Nitakipokea kikombe cha wokovu;Na kulitangaza jina la BWANA;
Barikiwa sana mdogo wangu