Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,953
Ahsante kaka mdogo.Nimrudishie bwana nini, kwa ukarimu wake woooote..
Aliyonitendea bwana mimi, Nimrudishie bwana niini?? Nitakipokea kikombe cha wokuvu na kulitangaza jina lake. Nimrudishie Bwana niini??
Huu wimbo umeniliza ndani ya kanisa, nalia kwa uchungu na furaha Daah wakati tunaimba kwa pamoja nimesikia miguu inakufa ganzi na midomo inashindwa tamka maneno. Mimi ni nani hadi Mungu kanipendelea kiasi hiki? Nitamlipa nini?
Mungu wetu ni mkuu.
Happy new year
Happy New year to you tooNimrudishie bwana nini, kwa ukarimu wake woooote..
Aliyonitendea bwana mimi, Nimrudishie bwana niini?? Nitakipokea kikombe cha wokuvu na kulitangaza jina lake. Nimrudishie Bwana niini??
Huu wimbo umeniliza ndani ya kanisa, nalia kwa uchungu na furaha Daah wakati tunaimba kwa pamoja nimesikia miguu inakufa ganzi na midomo inashindwa tamka maneno. Mimi ni nani hadi Mungu kanipendelea kiasi hiki? Nitamlipa nini?
Mungu wetu ni mkuu.
Happy new year
Nimrudishie bwana nini, kwa ukarimu wake woooote..
Aliyonitendea bwana mimi, Nimrudishie bwana niini?? Nitakipokea kikombe cha wokuvu na kulitangaza jina lake. Nimrudishie Bwana niini??
Huu wimbo umeniliza ndani ya kanisa, nalia kwa uchungu na furaha Daah wakati tunaimba kwa pamoja nimesikia miguu inakufa ganzi na midomo inashindwa tamka maneno. Mimi ni nani hadi Mungu kanipendelea kiasi hiki? Nitamlipa nini?
Mungu wetu ni mkuu.
Happy new year
Nawe pia.Nimrudishie bwana nini, kwa ukarimu wake woooote..
Aliyonitendea bwana mimi, Nimrudishie bwana niini?? Nitakipokea kikombe cha wokuvu na kulitangaza jina lake. Nimrudishie Bwana niini??
Huu wimbo umeniliza ndani ya kanisa, nalia kwa uchungu na furaha Daah wakati tunaimba kwa pamoja nimesikia miguu inakufa ganzi na midomo inashindwa tamka maneno. Mimi ni nani hadi Mungu kanipendelea kiasi hiki? Nitamlipa nini?
Mungu wetu ni mkuu.
Happy new year
Ahsante na shukran kwa Mungu mkuu alizifanya mbingu na nchi..Na kutufikisha mwaka huu mpya
[emoji23][emoji23][emoji23] mm mwenyewe natoroka muda sio mrefu
2020
Tukakabiliane na changamoto zetu kama Daudi alivyokabiliana na Goliati
Dawa za kulevia haziwezi muacha salama huyu mtu.
Nisubiri tuongozane.[emoji23][emoji23][emoji23] mm mwenyewe natoroka muda sio mrefu
Saa 0130 ndio muda mzr [emoji4][emoji4][emoji4]
Nawe pia.
Nanyi pia popote mlipo.Happy New year to you too