Rijali jandoni
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 2,174
- 2,264
okay hebu ngoja niulize swali ila nahofia siku nikija kuweka I'd yangu ya kweli watu watakuja kurecall hizii message [emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]
okay hebu ngoja niulize swali ila nahofia siku nikija kuweka I'd yangu ya kweli watu watakuja kurecall hizii message [emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]
Vitu murua.....acha dunia izungukeMimi nipo mkuu. Ni kujifanya tu lakini kama mnara unasoma 5G haya mambo hayakwepeki [emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 880839
Nilikuwa sijui mkuu. Asante kunifungua macho. Wakora !!!Huwa hawachambi mkuu, kwanza hawanyi, ile kitu inatumika kwa kazi zingine za tofauti
samee hilo deni mkuu,hujalikatia bima?
Wewe unaogopa watu. Tena unatumia Id feki?okay hebu ngoja niulize swali ila nahofia siku nikija kuweka I'd yangu ya kweli watu watakuja kurecall hizii message [emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]
Hiyo yote..ni nani anatafutwa?
ndio kwani na email nayoo siku nikivurumishe na mkuu melo hahahahahaaaWewe unaogopa watu. Tena unatumia Id feki?
Wazungu wakimwona huyo wanasema: "you are getting fat, plz do some cardio, yoga, jogging etc to get in shape, burn some fat girlfriend [emoji15][emoji15]"
Kidogo nimepata nguvu ya kubakia.....ila nitakuwa nimenunua Kesi. ..waliolala wakiamka wakati mimi bado nimelalaAibu ya nini bana enzi na zama hizi? Pengine huko uliko wala siyo usiku kivile. Huku kwangu kwa mfano bdo inagonga saa 12 na dk 28 jioni. Bakia bakia bana !!!
Kamanda kamanda, kazi kazi kama ina maslai muda wote utakuwa unaiwaza mkuumimi mlinzi wa asubuhi ndio nimeamkaa hapaa
sanaaa tuu kakaa kuna njiwa namngojea aanze kupeperuka hapaa naburudika mdoo mdooKamanda kamanda, kazi kazi kama ina maslai muda wote utakuwa unaiwaza mkuu
Wazungu wa wapi? Skandinavia huko labda. Wamarekani huko wanene balaa tena nao hii homa ya misambwanda imewakumba. Wanatamani wawe nayo...
Umeweka mikakati gani kuhakikisha deni lako linalipika?Halina Bima. ..
hizi shape kama za kwa ramaphosaa maana sio poa ndugu zetu wa bondeni sijui mtonii
Tutakimbizana jukwaani mpaka anieleweUmeweka mikakati gani kuhakikisha deni lako linalipika?
Utawaambia ni wikiendi. Ratiba za kulala kuparaganyika ni kawaida tu. Hawatakushangaa.Kidogo nimepata nguvu ya kubakia.....ila nitakuwa nimenunua Kesi. ..waliolala wakiamka wakati mimi bado nimelala
Mkuu vipi,mzee umemuacha peke yake anapambana na baridi ya mkesha?Kidogo nimepata nguvu ya kubakia.....ila nitakuwa nimenunua Kesi. ..waliolala wakiamka wakati mimi bado nimelala