Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,838
Kufua? Hata kuchamba tu ni ishu [emoji2221][emoji2221][emoji2221]Anafanyaje kazi za nyumbani,mfano kufua n.k ?
Kufua? Hata kuchamba tu ni ishu [emoji2221][emoji2221][emoji2221]Anafanyaje kazi za nyumbani,mfano kufua n.k ?
Ha ha ha ni mimi au ?
Atakuwa anakula mema ya nchiEquation Y umemwacha wapi?
Kaz muhimu kwake hapo ni kuweka mkono kinywan[emoji1] [emoji1]Anafanyaje kazi za nyumbani,mfano kufua n.k ?
wapi.... hii mpaka asubuhi...Ha ha ha asubuhi itakuwa ni full uchovu,ndio kuamka saa saba mchana
Hapa yupo mmoja hajapata mteja[emoji1]wazee hamuwezi nisikumia hata mtoto wa mama ashuraa hapoo
Ha ha ha siwezi mkuu,ninachomiliki mimi ni mwili tuUngependa kulibeba deni lake?
Atakuwa anakula mema ya nchi
Ha ha ha siwezi mkuu,ninachomiliki mimi ni mwili tu
Hilo ni janga mkuuKufua? Hata kuchamba tu ni ishu [emoji2221][emoji2221][emoji2221]
View attachment 880831
Ni urembo tu bro...Bro huyo atakuwa ana matatizo ya akili. Hafanyi hivyo isipokuwa mtu mwenye matatizo ya akili.
Hiki ni kituko.
Kaz muhimu kwake hapo ni kuweka mkono kinywan[emoji1] [emoji1]
Macho yatakuwa mekundu na kuvimba kama yanataka kuachana na kichwawapi.... hii mpaka asubuhi...
na unaamka.. vizuri tu....
nikataka kushangaa leo wazee mnaenda kimya kimya hata matangazoo big up shimba ya buyenzee umetuokoa mashabiki njee hukuu