JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hapo ila wahaya namba uno hawa watani wangu.. Nachekaga sana mambo yao
Hamna mtu ambaye hapendi sifa, wahaya mmewabandika hizo sifa ndomana wanawafanyia hivyohivyo, hata mhaya asiyejua kitu atajifanya anajua na amesoma kwasababu anaamini ndo mnavyomchukulia hivyo, km walivyokuwa wamakonde na wazaramo a.k.a waswahili wanaamini jamii inawachukulia km watu wanaopenda mambo ya kiaina flani nao wanayafanya hayo hayo, au watu wa arusha wanavyochukuliwa km wasela flani wahuni tu a.k.a wadudu nao wanaishi maisha yao kureflect hivyo ila makabila yote yapo sawa tu, mnavyowachukulia ndo wanavyoishi,
 
Uno, Dos, Tres, Cuatro, Cinco. ...umenikumbusha vidudu/chekechea
Nakumbukia wimbo was J Cole tu hapo..
Big deal, big wheal, I fall in love with Quick thrill, consistlil., don't give a fu*ck if it kill, it mix well. Am on Count in
 
Back
Top Bottom