Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,658
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji40]Siwezi kuvumilia lindo liishe, hapa nitapokezana na mtu.
[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji40]Siwezi kuvumilia lindo liishe, hapa nitapokezana na mtu.
Basi acha niende na Mr Miller wangu.
Ndo babybae ndio nini?
Siko tayari kukupoteza hapa kijiwenindio, kwanini haliwezekani?
Bado sijapata majibu. Naendelea kuwasikiliza wadau,kwa vigezo vyangu yule anaye kubalika sana nitaondoka nae na nitamtoa jf tuishi maisha yetu huko kitaa.
Huwa napenda kuchukua vile bora zaidi halafu itakuwa siri yetu.
filimbi sitaki sina sauti ya kuipuliza...hiyo mpe bbade nitakua nae leo
mimi nipe rungu,
Daah ! Ila sijawahi kukata tamaa mimi.Kila la Kheri.....ila nahisi bado hajajiunga na JF wa kuondoka naye, utasubiri sana
Usitake watu wajiume ulimi jamani...Ndo baby
safi sana chief,Bado sijapata majibu. Naendelea kuwasikiliza wadau,kwa vigezo vyangu yule anaye kubalika sana nitaondoka nae na nitamtoa jf tuishi maisha yetu huko kitaa.
Huwa napenda kuchukua vile bora zaidi halafu itakuwa siri yetu.
Yaani ukiona siku nawaaga jf ujue nimeshampata...!Kila la Kheri.....ila nahisi bado hajajiunga na JF wa kuondoka naye, utasubiri sana
mnaenda kulala wapi nyie?Filimbi...uendelee na Lindo.....sisi tunaenda kulala
Umeachiwa uselebuke nae
poleKho! Kho! Kho!
Yaani ukiona siku nawaaga jf ujue nimeshampata...!