simtishi nimemwambia tuUsimtishe mwenzio
Mwanamke anayependwa JFUzi gani tena huo ? Nikumbushe tafadhali.
kitengo gani hicho ambacho mimi sikijui
Pamoja mkuuTuko pamoja mkuu wa kazi.
Hivi yule mzee wa mapichapicha yuko wapi? Kila siku napisha nae humuMie huko siko,kazi yangu ni kuimalisha na kudumisha ulinzi wa Uzi
wewe unataka harufu au kushiba? [emoji3][emoji3][emoji19][emoji19][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio maana kumbe mchele wa siku hizi haunukii![emoji848][emoji848]
Kho! Kho! Kho!Unakuja au ndio mpaka Lindo liishe?
anayependwa na nani?Mwanamke anayependwa JF
Bado sijapata majibu. Naendelea kuwasikiliza wadau,kwa vigezo vyangu yule anaye kubalika sana nitaondoka nae na nitamtoa jf tuishi maisha yetu huko kitaa.Mwanamke anayependwa JF
anikabidhi nini?
Hakuna mwanamke anayechukiwa?Mwanamke anayependwa JF
sitahujumu nini?Mpaka tujiaminishe kwanza kwamba hutahujumu ndo tutakujulisha.
Unaibiwa.... Unaibiwa!tangu lini?
Inamaana bado tu haijafika?[emoji848]Itakuwa inaletwa na njiwa.
sitahujumu nini?