JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Nimepata kidogo ili nilale, mara simu mia mia.Dunia hii acha tu, fahari ya macho na kukosa usingizi.Ikididi unalipua. Sasa acha tu ntalala kesho ya baadae, bega kwa bega.
 
Walaaa sijasema hayo mimi usinichonganishe eee
Umesema indirect
Nakumbuka nilivokua form 2 mwalimu wangu wa ISLAMIC KNOWLODGE alinifundisha aina za mipasuo ya sketi za wadada .ile mirefu kabisa maana yake ni (kwani ina maana huoni ?)[emoji23]
 
Back
Top Bottom