Suluhisho.Unalala saa mbili mkuu? mi nililala saa moja ndo yamenikuta ya kuamka saa saba.
Mjini mipango...Duu unatoka moro kazi dar ama ndio mambo ya usafiri
Hong khong hawajambo?[emoji848]Mjini mipango...
Wazima sijui nyinyi? ThadHong khong hawajambo?[emoji848]
KaribuHodi humu
Upo mama mrs mnyantuzu[emoji23]Hong khong hawajambo?[emoji848]
Nataka nianzshe jf mchana wa manane
wapi tena hiyo muda huu au unaenda kuzimuNina safari ndefu kidogo sitokuwepo hii leo Thad natumai kuwa online nikifika,,,
Wazima humu ndaniKaribu
Wazima humu ndani
Wachache wanaoaga pindi safari ya kuzimu inapowajia...wapi tena hiyo muda huu au unaenda kuzimu
Ni poa kabisaaaWazima, niaje?