JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Pole...

Kesho kama unakwenda job utakuwa umechoka mbaya. Jitahidi ulale...

Chukua Biblia usome sura kadhaa usali kidogo halafu ujaribu tena kulala. Unaweza kubahatisha masaa angalau mawili matatu hivi kabla hakujakucha kabisa kabisa [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Hata sichokagi sababu ya usingizi. Nimelala mapema ndo maana nimewahi kuamka. Hata nikilala nusu saa tu namaliza usingizi..
 
Hata sichokagi sababu ya usingizi. Nimelala mapema ndo maana nimewahi kuamka. Hata nikilala nusu saa tu namaliza usingizi..
Aisee. Usingizi muhimu sana. Jaribu kuwa na ratiba inayoeleweka na hakikisha unapata angalau masaa yasiyopungua saba kila siku. Wanasayansi wanasema kuwa kutopata usingizi wa kutosha pengine ndiyo kisababishi kikuu cha kansa karibia zote; na tayari katika nchi za wenzetu huko watu wanaofanya kazi zenye shift za usiku kama manesi, polisi na wengineo wameanza kutambuliwa kama watu wanaofanya kazi za hatari na kulipwa posho maalum. I take sleep seriously...
 
Back
Top Bottom