Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,871
Na Mimi nilihisi hivyoUnakuwa hujampenda vizuri
Na Mimi nilihisi hivyoUnakuwa hujampenda vizuri
Mkuu tumetofautiana fikra na msimamo.Unakuwa hujampenda vizuri
Malizia tuoneeSikumalizia sentensi....
Mbona wagunaMmmh!
Kwahiyo wataka kuniambia???Wageni wasikuogopeshe....
Asante sana...nibakizie napitia asubuhiMr Miller wewe hujawahi kula hao smoked sangara?utamu kunoga nazi,bamia,nyanyachungu kwa kweli njoo tu uonje ujifunze, Don Clericuzio hupendi au hutumii mayonnaise?usijali ya kwako nitayala mie bbade nimeshapata si mbali ni hapo nje tu karibu
[emoji4] [emoji4]Hahaha Da'Vinci kanifanya nitie neno
Nitamalizia tu...kwa sasa naona macho mengi....Malizia tuonee
Mmmhhh basi tupia kule encryptedNitamalizia tu...kwa sasa naona macho mengi....
Nawe pia mkuu Mungu akulindeUsiku mwema wadau.
okay vizuri, ila usijisahau na wewe chief...majirani wanaweza kuwa wengi.Furaha yangu ni kuona jirani yangu akiwa anafuraha
ShukraniNawe pia mkuu Mungu akulinde
Hapana bwana tayari mpo nae na mnafuraha alafu atokee mtu anampenda huwezi kumgawa tu kwa huyo mtu bado hujajali furaha ya mpenzi wako furaha yake ipo kwako ndio maana kakuchagua... Mpenzi wako angekuwa ameamua kukuacha basi ndo ungefuata furaha yake.Mkuu tumetofautiana fikra na msimamo.
Siwez gombea msichana na mtu hata kama nampenda vipi. Namuachia nae awe nafuraha..
Usijali...Mmmhhh basi tupia kule encrypted
unaona sasa!!Unakuwa hujampenda vizuri