JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

DON Clerucizio akuwekee ukwaju,pilipili mayonnaise bbade siwezi jamani hata hapa nipo njiani zege mlegezo moja na peps baridi ndo nitalala Mr Miller kwa kweli nshazoea dona mixer unga wa mihogo na vibambala usiku mambo ya kizungu ntayaweza wapi? Ushimen toothpick zimeisha ila nitakuletea njiti za kiberiti
Usikawie , usije rudi jua linachomoza
 
Back
Top Bottom