Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,442
- 110,068
Wakiwa wengi ndipo nazidi barikiwa kupitia waookay vizuri, ila usijisahau na wewe chief...majirani wanaweza kuwa wengi.
Wakiwa wengi ndipo nazidi barikiwa kupitia waookay vizuri, ila usijisahau na wewe chief...majirani wanaweza kuwa wengi.
Nimemaliza....Kwahiyo wataka kuniambia???
Mpaka sasa hakuna. Nime give up tayariUsijali...
Ile uzi wa juzi una mafanikio yoyote?
Upumzike salama kakaUsiku mwema wadau.
SijaonaNimemaliza....
Shida siwez ona mwenzangu anakosa furaha ajili yangu wakati ninauwezo wa kumpatia kitu anachohitajiHapana bwana tayari mpo nae na mnafuraha alafu atokee mtu anampenda huwezi kumgawa tu kwa huyo mtu bado hujajali furaha ya mpenzi wako furaha yake ipo kwako ndio maana kakuchagua... Mpenzi wako angekuwa ameamua kukuacha basi ndo ungefuata furaha yake.
Si kwa maneno yako ya kusema unajali furaha ya mwenzioNimefanyaje Astelia
Oooiii never give up....Mpaka sasa hakuna. Nime give up tayari
sikumbuki kama nimewahi au la, ila umenipa hamasa ya kutaka kuwaonja....ukipika unialike,Mr Miller wewe hujawahi kula hao smoked sangara?utamu kunoga nazi,bamia,nyanyachungu kwa kweli njoo tu uonje ujifunze, Don Clericuzio hupendi au hutumii mayonnaise?usijali ya kwako nitayala mie bbade nimeshapata si mbali ni hapo nje tu karibu
Nafanya vibaya??Si kwa maneno yako ya kusema unajali furaha ya mwenzio
umeshawahi kupenda kwa moyo wote? (kama wanavyosema wanafalsafa wa mapenzi)Mkuu tumetofautiana fikra na msimamo.
Siwez gombea msichana na mtu hata kama nampenda vipi. Namuachia nae awe nafuraha..
Tazama vizuri.....Sijaona
Kaangalie kuna page 10 sasa ila hakuna cha maana! Eti mtu anakuambia kama upo tayar njoo twende ukajiunge ba wapiganaji.Oooiii never give up....
Wakiwa wanaumia wengi je?Shida siwez ona mwenzangu anakosa furaha ajili yangu wakati ninauwezo wa kumpatia kitu anachohitaji
ukiwa unaenda niambie twende wote Monchou!Asante sana...nibakizie napitia asubuhi
Nitapitia usijali...Kaangalie kuna page 10 sasa ila hakuna cha maana! Eti mtu anakuambia kama upo tayar njoo twende ukajiunge ba wapiganaji.
na kwako pia chief, pumzika.Usiku mwema wadau.
Mbona mapema?Usiku mwema wadau.
Nachukia uongoTazama vizuri.....
Kabisaokay vizuri, ila usijisahau na wewe chief...majirani wanaweza kuwa wengi.