JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

jana nlikuwepo ktk kupambania kislesi changu katika keki ya taifa .chamsingi ni kukubaliana na hali tu ndugu yangu,hakuna namna hapo ni kutafuta vitu vya kupasha moto mwili na kusisimua/changamsha akili kama, [emoji477] [emoji481] [emoji483] [emoji484] [emoji485] [emoji100] [emoji100] etc
Ngoja nifunike kombe mwanaharam Jiwe apite tu
 
pilau lenyewe lilikuwa la kibabe?,tonge nyama,tonge kiazi? au lakawaida?.maana unakula kodi yako hapo so ni wajibu wao kukupa kilicho bora.
Pilau lilikuwa tonge harage,tonge harage mi nililazimika kulikwepa maana nilikuwa nishabonyea mtaani hivyo hata sikuhangaika nalo.Sio kodi tu maana na 2000 tumechangishwa tena kwa lazima
 
Back
Top Bottom