Hahahahaha ndio nilikua najiuliza kuwa baadhi yao walikua wapio miaka tisa (9) iliyopita wakati najiunga na Jambo Forums, duh hadi Jamii Forums? Tumepitia mengi Mkuu Maxence Melo ufanye mpango tukutane tena kama ile ya Ocean Road ya mwaka uleKuna watu humu ndani ni vibabu na wengine ni vitoto vya kuvizaa kabisa. Sema ukivigusa tuu vina maneno machafu utadhani .......!?
Ila miaka ile mijadala ilikuwa heavy kweli kweli! Enzi hizo unakuta league imepamba moto kwenye hoja nzito hadi nadhani wakubwa wote serikalini walijua utatuzi utapatikania Jamboforums.Hahahahaha ndio nilikua najiuliza kuwa baadhi yao walikua wapio miaka tisa (9) iliyopita wakati najiunga na Jambo Forums, duh hadi Jamii Forums? Tumepitia mengi Mkuu Maxence Melo ufanye mpango tukutane tena kama ile ya Ocean Road ya mwaka ule
Tutaanza kukuita muhengaJF imetoka mbali...nakumbuka enzi hizo 2012 mwanzoni nimejiunga na ID yangu flani hivi nikaenda Jukwaa la siasa kichwakichwa si kwa nilivyoshukiwa. All in All imeimprove sana and it keeps getting better...
Kweli kabisa Mkuu...
Kumbe humu watu mna ID nyingi, alafu ukazaliwa upya ndani ya JF June, 2016Huu muonekano wa enzi zile najiunga JF (2012)
Kumbe humu watu mna ID nyingi, alafu ukazaliwa upya ndani ya JF June, 2016
Pole sana kiongoziNilisahau password, nikafungua nyingine.
Ze utamu bana!2008 Enzi za zeutamu,lol
niliona kama jf ndio mmiliki wake,
nilikua nashusha matusi humu,kama mama mwenye nyumba ambae hajalipwa,lol
Kuna weñzetu wameshatajirika humu humu