JamiiForums imenipatia mke mwema

JamiiForums imenipatia mke mwema

Watu mna roho mbaya kama wauza sumu.

Wekeni picha zenu hapa na nyie tuwaone.
Harusi ya watu imependeza nyie mnamkomalia bibi harusi.

Mmekosa adabu kabisa .
 
wadau leo narudi kwenu tena kuwashukuru wana JF wenzangu kwa pongezi zenu. Pia nafurahi kuwajulisha tumepata mtoto wa pili mwenye afya tele (mama na mtoto wanaendelea vema)
Mwaka Jana umepata mtoto na mwaka huu pia. Au kwa mke wa pili
 
Ila midude ya dizaini aisee likikutaiti huchomoi maana ni mitundu hatari yaani linajua kufunikia mapungufu ya sura , umbo n. k.
 
Tichi tichi tichi tichie mbona majangaa
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kila shetani ana mbuyu wake
84eb2c941a1c7b964a4ec5e4bbb7e784.jpg
 
aah vibaya hivyo.hujui mwenyewe amependea nini?mbona mwenyewe umeweka picha ambayo sio yako?hongera mleta mada,mimi wangu yupo humuhumu,sibanduki ng'oo.
Hebu tutafutane huwenda tunaendana mkuu.
 
Hili ni moja kati ya matatizo yetu makubwa Wabongo.

Kila kitu tunafanya kwa kuangalia jamii.

Ukitaka kumpendeza kila mtu maana yake hutampendeza kila mtu. Possibly hutampendeza yeyote.

Hata huyo mzuri hajulikani yukoje, utakayemuona wewe mzuri, mwingine atamkosoa.

Mwingine anaona kimbaumbau ndio mzuri, mwingine anaona tipwatipwa ndio mzuri, mwingine anaona shorty ndio mzuri, mwingine anaona super tall ndiye mzuri.

Sasa katika mazingira kama hayo ambayo hayana jibu moja la "mzuri", suala la uzuri aa hiwe muoaji, kwani yeye ndiye atakayeamka kila asubuhi akimuangalia mke wake.

Nyie wengine ni wapiga domo tu.

Mwanamme wa shoka hawezi ku criticize uzuri wa mke wa mwanamme mwingine.

Labda vivulana visivyojua siri za ndoa wala kwenda jando hata la kiakili tu.
Mkuu mbona unatokwa pofu sana, inaonekana ww ndio blessings mwenyewe na hii ni account yako nyingine, kuwa na amani acha kusikiliza ya watu, usitegemee kupata comments zitakazokufurahisha humu jf.
 
Back
Top Bottom