Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,742
- 1,562
mmmh!! unaongea kwa kumaanisha au??
utadhani Kamkuta bikra!
mmmh!! unaongea kwa kumaanisha au??
utadhani Kamkuta bikra!
Naona umeamua kuchezea sana watu na huu uzi wako! ! !wadau leo narudi kwenu tena kuwashukuru wana JF wenzangu kwa pongezi zenu. Pia nafurahi kuwajulisha tumepata mtoto wa pili mwenye afya tele (mama na mtoto wanaendelea vema)
Hongera zake. Ila ajiandae vema yaonekana huyu mama ni baunsa, hapo ametabasamu sijui akinuna na kufura itakuwaje!mmh! hongera ila mkeo huyo ana sura ngumu kama vile mjeda! anyway si mbaya la muhimu kama ana pango la kukupunguzia ashki hakuna mbaya.
Aisayee member mwenzetu is gifted .... kapata mke na watoto!!hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaView attachment 331423
Kwani kama mahaba yako yanataka bondia akudunde sisi haituhusu, wewe tu kwa raha zako. Kupigwa nayo ni sehemu ya raha na mahaba.Najua mtachonga sana na kupepesa midomo kama kasuku lakini ukweli ndo huo tunafurahia maisha na mke wangu mpendwa. Niichogundua JF kuna MIGUBE GUBE iliyokosa wenza/ndoa wao wakiona watu wamependana basi hujaa mate mdomoni kwa wivu/hasira.
hahahahaAISE NI SUGAR MAMY?
mume ni handsome mke ni hamsome piaDuuuuuuu!!!kweli kila shetani na mbuyu wake!
Mbona unaguna kwani wema ni sura? Umeiona mashine yake?Mmmmh! Kweli mke mwema
tehetehe kwani hiyo picha ina tatizo mkuu...Kaka next time ujitafakari Kabila ya Kuweka picha jf Ina sasa