JamiiForums imenipatia mke mwema

JamiiForums imenipatia mke mwema

Wanaocheka ukiona hivyo hawajaolewa wanafanyiwa majaribio afu wanaolewa wengine. Nawafananisha na wachezaji wanaofanya mazoez afu match anapangwa mwingine. Poleni kwa ambao hamjaolewa inawezekana rizki yako ilikuja lkn unachagua sana.
Wanaocheka ni wanaume sio wanawake.
 
hongera kaka.na mimi tatuma maombi soon ya kutafuta mke jf,awe na sifa zifuatazo;a/umri 22, b/awe white mwenye mvuto, c/msomi d/awe na KAZI, e/tabia tutarekebishana.wahi mapema PM tafadhali.
 
Hongera kaka Mungu awape maisha marefu na ndoa yenye amani na upendo, kumbe JF kuna wachumba wa kweli haya na mimi natafuta mchumba rasmi
 
Mke ni pambo la ndani ila sidhani kama huu usemi utakuwa applicable kwa kaka blessings.
Surely love is blind
 
Last edited by a moderator:
Ukute Avatar yake ni nzuri kama beyonce, Mwe ipo haja wana JF kutumia real picture badala ya Avatar za uongo. Unaweza ukaingia chaka hivi hivi kama mdau.


una uhakika kama jamaa kaingia chaka? nyie ndo wale mnaoa jion asbui mmeachana hujui maana ya upendo!
 
Ukute Avatar yake ni nzuri kama beyonce, Mwe ipo haja wana JF kutumia real picture badala ya Avatar za uongo. Unaweza ukaingia chaka hivi hivi kama mdau.
aah vibaya hivyo.hujui mwenyewe amependea nini?mbona mwenyewe umeweka picha ambayo sio yako?hongera mleta mada,mimi wangu yupo humuhumu,sibanduki ng'oo.
 
Be serious mkuu, nahisi hii ni joke! Kama ni joke, dhambi yako ni kubwa sana!
 
Wadau wa JF nashukuru sana JF kwa kunipatia mke mzuri na anayenipenda kwa dhati na hatimaye tumefunga ndoa takatifu. Please wadada msinitafute tena nimepata mwenzangu wa maisha

Mkuu hata kutualika pilau
 
Wadau wa JF nashukuru sana JF kwa kunipatia mke mzuri na anayenipenda kwa dhati na hatimaye tumefunga ndoa takatifu. Please wadada msinitafute tena nimepata mwenzangu wa maisha

MashaAllah, Mzidishiwe kila la kheri katika ndoa yenu na InshaAllah Mwenyeezi Mungu awajulisheni ukweli kuwa Mungu ni mmoja tu hajazaa wala kuzaliwa, mtoke kwenye kiza na muingie kwenye nuru ya kujisalimisha (Islam) kwake tu.
 
Back
Top Bottom