JamiiForums imenipatia mke mwema

JamiiForums imenipatia mke mwema

mmh! hongera ila mkeo huyo ana sura ngumu kama vile mjeda! anyway si mbaya la muhimu kama ana pango la kukupunguzia ashki hakuna mbaya.
Acha zako ww uliyemuumba ww mwenye sura laini yupo wapi, vile vile ww unaweza ukamuweka wako hapa watu wakaona anasura nzito kama zege Lillilo lala , acha unyambulusi bana
 
Mkuu blessings nakupa hongera sana(if there is a wee bit of truth about this)


...lakin kama ulikuwa uancheza na akili za watu humu umefanikiwa kwa kiasi kikubwa na wengine tumeona rangi halisi ya wana JF humu kwenye sensitive issues kama ndoa.

Tumeona roho za husda kwa watu waliokata tamaa
 
2f8bf939d5b78526b9ba9d77dbf9e186.jpg



Huyu si ndo aliyechepuka na Mchepuko kudai kasahau pete ya ndoa hotelini? Ahahahahaa na akasema mkewe hajishughulishi kitandani kisa kuzaa watoto wawili? Ndo maana basi akachepuka jamani mlio olewa wapeni waume zenu mambo moto moto mkizubaaa wa nje wamejaaa 24/7 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa nyuzi izo eti na alisema alimpata jf.jf I'd fake hadi mada fake shwain
 
Uzuri wa mke sio sura, mnaongalia mke sura ndio mnaongoza kufeli katika ndoa...hongera mkuu na muishi kwa amani na upendo
 
Du! ni ngumu kutamka lakini hata mimi nampongeza kwa kupata mke,japo naamini kuwa uzuri wa mke anaujua mume wake lakini kwangu mimi mke wa mshikaji siyo mzuri sijamkubari mungu anisamehe.
Uzuri wa mke ni Tabia sio sura
 
Chamsingi ni amani upendo + furaha

Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
 
Hebu nikuone mrembo maana me mwenyewe natafuta mke



Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Asante Ndg./Bw./Bi. leunamme kwa pongezi. Tunaendelea vema natafuta mtoto wa nne sasa. Karibu sana nyumbani
 
Back
Top Bottom