miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
kikubwa usiwe flata$$ kama miss chaga.
Ha ha ha ha uwiiiiii jamani aya utapata waliobinuka kama trekta
kikubwa usiwe flata$$ kama miss chaga.
mmh! hongera ila mkeo huyo ana sura ngumu kama vile mjeda! anyway si mbaya la muhimu kama ana pango la kukupunguzia ashki hakuna mbaya.
Kweli ukisema Cha nini? wenzio wanasema watakipata lini.............!!!!
Mwe kama jf ndo wanapatikana mademu wa hivi basi kuanzia leo si date na demu wa JF.
Asisahau mazoezi jamani. Haki ya nani.
Hii ni thread ambayo imenivunja mbavu, nimabaki speechless....
Asisahau mazoezi jamani. Haki ya nani.
Mwe kama jf ndo wanapatikana mademu wa hivi basi kuanzia leo si date na demu wa JF.
mazoezi ya nini
MashaAllah, Mzidishiwe kila la kheri katika ndoa yenu na InshaAllah Mwenyeezi Mungu awajulisheni ukweli kuwa Mungu ni mmoja tu hajazaa wala kuzaliwa, mtoke kwenye kiza na muingie kwenye nuru ya kujisalimisha (Islam) kwake tu.
Mh. Eti FaizaFoxy ushaolewa wewe? Maana mi mtandio wako na koment zako zinafanaana. Hope we ni mke mwema.MashaAllah, Mzidishiwe kila la kheri katika ndoa yenu na InshaAllah Mwenyeezi Mungu awajulisheni ukweli kuwa Mungu ni mmoja tu hajazaa wala kuzaliwa, mtoke kwenye kiza na muingie kwenye nuru ya kujisalimisha (Islam) kwake tu.
yes mke ni pambo la ndani
kwake sio kwako hujawai kupenda wewe,kk blessing kapata chaguo lake
hujalazimishwa kumkubali pita kimya au kuifanya stori fupi muweke wa
kwako!!!!