JamiiForums imenipatia mke mwema

JamiiForums imenipatia mke mwema

Hongera mwaya naona best man anamwangalia mno huyo mdada aliyekaa hapo chini . Mmependezea sana hongera kwa mara nyingine baada ya miaka kadhaa mtakua mnafanana sijui kama kweli lkn manake watu husema watu wakikaa pamoja muda mrefu hufanana hasa wanandoa.

Afu na wewe una vitendawili vigumu... Ila Carolite ipo pale penye ugumu inafanya wepesi
 
Hongera kaka huo mzigo utakula mwenyewe nakuhakikishia hakuna mtu atamtongoza asilani
 
mmh! hongera ila mkeo huyo ana sura ngumu kama vile mjeda! anyway si mbaya la muhimu kama ana pango la kukupunguzia ashki hakuna mbaya.

hahaaaaaa kwrli nimeamin humu kuna watu wa kila tabia
 
"nyie ndo mnafanya watu waseme mapenzi upofu"Bora wale wazuri wamebaki mtaani,hongera kwa kuwa kipofu.
 
mmmmmmmmh haya mambo ya kutafuta mke/mume kwenye keyboard ni balaa aisee.
 
Wana JF tumebarikiwa kupata mtoto mchana wa leo mama na mtoto wanaendelea vizuri kabisa. Nawashukuru JF kwa kuniunganisha na mke wangu na mama wa mtoto wangu GEOFREY
 
Wana JF tumebarikiwa kupata mtoto mchana wa leo mama na mtoto wanaendelea vizuri kabisa. Nawashukuru JF kwa kuniunganisha na mke wangu na mama wa mtoto wangu GEOFREY

Hongera baba Geoffrey.
 
Wana JF tumebarikiwa kupata mtoto mchana wa leo mama na mtoto wanaendelea vizuri kabisa. Nawashukuru JF kwa kuniunganisha na mke wangu na mama wa mtoto wangu GEOFREY

Mungu ampe nguvu shemeji, pia amtunze mtoto na kila ovu. Mtoto awe na akili pia hekima kuzidi mfalme suleiman.

Hongera sana kaka!"
 
Wana JF tumebarikiwa kupata mtoto mchana wa leo mama na mtoto wanaendelea vizuri kabisa. Nawashukuru JF kwa kuniunganisha na mke wangu na mama wa mtoto wangu GEOFREY

Oooh how sweet it is to bring the bundle of Joy in the house
It is a blessing from God . Hongera sana Mungu akukuzie mwanao katika njia zimpendazo yeye for His Glory in Jesus name Amen.. Thanks
 
Mlipendeza sana, mpe pole mama mzazi. Hongereni sana.

Kumbe humu JF watu wameoana kweli, itakuwa kama mamtoni sasa watu kutambua online dating.
 
Kweli aise hapo umepishana na BP live hukutaka marumbano na vijana wa kunyanyuka na mali za wenzao!!!!!!!!BIG UP.
 
MKE MWEMA hutoka kwa Bwana haya mengine ni makando kando tu ya duniani na huwa yanakwishaga na kusinyaa kwa hiyo vijana tafuteni wenza wenye mapenzi ya dhati na si kuangalia Sura, umbo na mali alizo nazo mwenzio
 
Ana danganya huyu mtu..kuja tuu kumdhalilisha mdada wa watu.sio mke wake wala nini
 
MKE MWEMA hutoka kwa Bwana haya mengine ni makando kando tu ya duniani na huwa yanakwishaga na kusinyaa kwa hiyo vijana tafuteni wenza wenye mapenzi ya dhati na si kuangalia Sura, umbo na mali alizo nazo mwenzio

Hata kama bora nibaki bila mke ila hapo du! hapana kwa kweli
 
Back
Top Bottom