Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
daha watu wanachaguaje wenza huyo mwanamke mvuto upo chini sana...kweli kipenda roho......
Hongera mwaya naona best man anamwangalia mno huyo mdada aliyekaa hapo chini . Mmependezea sana hongera kwa mara nyingine baada ya miaka kadhaa mtakua mnafanana sijui kama kweli lkn manake watu husema watu wakikaa pamoja muda mrefu hufanana hasa wanandoa.
ni kweli naamini katika umoja ni nguvu 1% watakapogundua ni sawa ni kijito kinachotoa maji baharini kuweka nnchi kavu
watakapoa toa nnchi kavu na kuweka baharini haitakuwa too late kwao maana 99% wanaongozwa na upendo zaidi usihofu
asante Mura.......Hahahaha, we mkareeeeee.
mkuu nakuona upo Mura........Hahahaa, kuongozwa na upendo zaidi hakuruhusu ubaguzi wa hawa 1% na hawa %99, huyu mke wake mzuri, yule mbaya.
Huo ni ubaguzi uliojikita katika shallow notions.
Especially kama mbondaji si muoaji wa huyo mwanamke.
Wanawake wote wazuri, tatizo matunzo.
Kama Oprah Winfrey kakubalika kuwa star wa TV Marekani miaka yote hiyo mpaka kawa bilionea mkubwa, na kapigwa soap soap mpaka kadumu kwenye TV nchi iliyo image conscious kama Marekani hata huyu mke naye anaweza kupigwa soap akatokea vyovyote.
Kama Lupita Nyong'o kawapa nyama ya ulimi Hollywood mpaka wamemkubali ingawa hana lolote lililo especially striking physically (her ability to communicate and inspire with a keen adaptability is something else altogether) na kuwa voted the most beautiful woman na People magazine, a highly coveted spot, then that shows us that beauty is not only skin deep.
Unaweza kuoa mke anayekubalika mzuri, ukawa humpi matunzo stahili wala nyama ya ulimi, akakongoroka mpaka ikawa hatari.
Na unaweza kuoa mke asiyekubalika uzuri, mwanamme ukampa matunzo stahili na nyama ya ulimi, akang'ara mpaka hao waliomsema mbaya wakaanza kumtamani.
Peace and love reigns above all.
Cc Nyani Ngabu
mkuu nakuona upo Mura........
muache FaizaFoxy atoe "ilm" ya mahaba, au wewe hujui kuwa wanawake "makungwi" toka pwani ni wafundaji wazuri sana wa yale mambo yetu?.
Hahahahahah yaani umenifanya nicheke mpaka basi , ndugu yangu mimi si huyo Blessing duh mbona ungeingia chaka. Kiukwei huyo mdada kajaaliwa si mwenyewe umemuona alivyotokelezea mimi simpati hata kwa mbali .
mmh! hongera ila mkeo huyo ana sura ngumu kama vile mjeda! anyway si mbaya la muhimu kama ana pango la kukupunguzia ashki hakuna mbaya.
duh mkeo anaboost huyooo!!!
Anaboost nn? Au sijakuelewa ulimaanisha boobs? Aisee lugha za watu hizi kazi kweli kweli
We have same eyes but we see things in different ways
Wadau wa JF nashukuru sana JF kwa kunipatia mke mzuri na anayenipenda kwa dhati na hatimaye tumefunga ndoa takatifu. Please wadada msinitafute tena nimepata mwenzangu wa maisha
Hahahahahah yaani umenifanya nicheke mpaka basi , ndugu yangu mimi si huyo Blessing duh mbona ungeingia chaka. Kiukwei huyo mdada kajaaliwa si mwenyewe umemuona alivyotokelezea mimi simpati hata kwa mbali .
Huu uzi umejaa methali...
"Ukisema cha nini, wenzio wanasema watakipata lini"...
"Kila shetani na mbuyu wake"
Kimfaacho mtu chake"...
Basi kama hilo kwake ndo pambo then sio mchaguaji mzuri wa mapambo coz what I think about mapambo atleast 75% should admire that pambo but hili la kaka blessings mhh hapana kwa kweli[/QUOTE kwani pambo si kitu kinachoshutua sio lazma kiwe kinangaa ila kiwe kina badili muonekano
Hahahaa, kuongozwa na upendo zaidi hakuruhusu ubaguzi wa hawa 1% na hawa %99, huyu mke wake mzuri, yule mbaya.
Huo ni ubaguzi uliojikita katika shallow notions.
Especially kama mbondaji si muoaji wa huyo mwanamke.
Wanawake wote wazuri, tatizo matunzo.
Kama Oprah Winfrey kakubalika kuwa star wa TV Marekani miaka yote hiyo mpaka kawa bilionea mkubwa, na kapigwa soap soap mpaka kadumu kwenye TV nchi iliyo image conscious kama Marekani hata huyu mke naye anaweza kupigwa soap akatokea vyovyote.
Kama Lupita Nyong'o kawapa nyama ya ulimi Hollywood mpaka wamemkubali ingawa hana lolote lililo especially striking physically (her ability to communicate and inspire with a keen adaptability is something else altogether) na kuwa voted the most beautiful woman na People magazine, a highly coveted spot, then that shows us that beauty is not only skin deep.
Unaweza kuoa mke anayekubalika mzuri, ukawa humpi matunzo stahili wala nyama ya ulimi, akakongoroka mpaka ikawa hatari.
Na unaweza kuoa mke asiyekubalika uzuri, mwanamme ukampa matunzo stahili na nyama ya ulimi, akang'ara mpaka hao waliomsema mbaya wakaanza kumtamani.
Peace and love reigns above all.
Cc Nyani Ngabu
Umeadimika shkamoo mwenyekiti...