Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,920
- 4,243
Kiukweli tuache unafiki uyo mke wa jamaa ni mbovu acheni kusifia uwongo uku moyoni mwenu mnasema anasura mbovu
Wewe huenda sura yako ndo mbaya.Hebu weka picha yako tuone kama una ujasiri
Kiukweli tuache unafiki uyo mke wa jamaa ni mbovu acheni kusifia uwongo uku moyoni mwenu mnasema anasura mbovu
Wewe huenda sura yako ndo mbaya.Hebu weka picha yako tuone kama una ujasiri
Nilicheka sana ikabidi tu niwape hongeraJamani hamuoni hapo katoa picha toka sherehe yetu blog!
Hahaha,
Kwa hiyo kuijaza nchi mpaka kuoa?
Miaka yote hii binadamu walivyozaliana mpaka kuijaza dunia kulikuwa na ndoa?
Walivyoagizwa na nani?
Na hao masista na mapadri watakuwaje viongozi wa kiroho katika masuala ya ndoa bila ya kuwa katika ndoa?
hiyo miaka unayosema imesgapita zilikuwa zama za mawe na si sasa kipindi kile binadamu alikuwa hajajitambua nakujiunga na ile 99% kwa hiyo hata heshima na utu vilikuwa si sana ndo maana walikuwa wanavaa magome lakini sasa twavaa nguo lazima tukubali mabadiliko huwezi kuzaa na kuzaliana kama wanyama lazima tujitofautishe ndo hapo kitu NDOA kikaja ili kutujengea heshima tuijaze nnch kwa mpango na malengo
Kama kweli mnaheshimu ndoa hivyo, inakuwaje kuhoji uzuri wa mwanamke aliyechaguliwa na mwanamme kuingia katika ndoa yao mnayoiheshimu sana?
Kati yangu ninayesema mwanamme anayeoa ndiye mwenye maamuzi kama mke wake ni mzuri ama la na hawa wanaobeza uzuri wa mke wa mtu baki, mtu ambaye hata hawamjui, nani anaheshimu ndoa na nani anabeza ndoa hapa?
mimi si miongoni mwa hao waliobeza
lakini muoaji ajue yuko ndani ya jamii na sikuzote jamii iliyokuzunguka haiwezi kusifia jambo kwa asilimia 100% lazima akubali na kukosolewa kwasababu jamii ina viwango vyake vya uzuri na haimaniishi wakikosoa wanamrudisha mtu nyuma ni mtizamo wao tu ni kama upepo uvumao kwenda kaskazini ukirudi kusini utarudi na vumbi jipya
Chaguo lolote atakalofanya kuna watu katika jamii watasifia na wengine katika jamii watabeza.
Sasa tukikubali hilo, kwa sababu muoaji ndiye ataamka na mke wake karibu kila siku asubuhi, ni haki yake kuutafuta uzuri atakaoona yeye unamfaa.
Wengine kuingilia sana mnaweza kuambiwa mna wivu mlitaka kuolewa nyie, wanawake kwa wanaume.
sentensi za mwisho nahisi unakoelea siko mwanaume atake kuolewa tena???? mhhhhhhh hapo no comment ujumbe wako utawafikia
Sasa mwanamme mzima kuanza kutoa maksi za uzuri wa mwanamke, mke wa mwanamme mwenzako, maana yake nini?
Bora hata mwanamke anaweza kusema anataka kuwa mke wa pili aongeze uzuri katika nyumba.
kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake
Na mimi nami ni kati ya hao wenye uhuru, hata kama nipo kwenye one percenters.
hahaha jua na mvua vyote ni muhimu ingawa havipendani ikija mvua jua lajificha and viceversa wote ni muhimu tunahitajiana 1% anamuhitaji 99% ili kupata 100% and vice versa
Kweli ukisema Cha nini? wenzio wanasema watakipata lini.............!!!!
Hata sumaku hazivutani kusi kwa kusi.
duuh kweli kila mtu ana flavor zake aisee! mi huyo wala hanistui kabisaaaaa.