besides everything, huyu mwanamke kapambwa vibaya lkn si kwamba ni mbaya kama watu wengi wanavyo dhani.
hapa mabibi harusi watarajiwa wajifunze jambo hasa hawa wanaopita humu jf unless kama nao ni wale wakifungua jf wanasoma kiushabiki pasi kujifunza.
jins mwanamke ajipambavyo/apambwavyo kunaweza kubadili kabisa mwonekano wake mzuri na kumfanya aonekane tofauti. Mathalan mdada iyo lipstick imepakwa kwa namna ambayo imevimbisha/kuza lips zake na hivyo mdomo ukaonekana mkubwa sana, so kosa lipo kuanzia kwenye rangi ya lipstic yenyewe hadi kewnye jins alivyopakwa.
ukienda mbali zaid the color of her dress is not her color na hapa andipo maharusi wanapochemka, wataalam wa urembo husema kila binadam ana rangi inayompendeza zaid na rangi isiyompendeza vilevile. sasa ushabiki wa kusema kisa pearch/carrot ni rangi ya mwaka basi na mie nivae kumbe wewe hiyo haiwez kukutoa kama ukivaa light blue ama green. na huu ndio ulimbuken mwingine ma bibi harusi huufanya kisa tu ni rangi ya mwaka basi unataka kuivae bila kujikagua.
kibaya kingine maharusi wengi hawajui design za nguo za kuwapendeza na pia kwa desturi za kibongo mtu hujiendea tu kkoo (walio wengi) wakashona bila kujua kama huyu fundi anaweza kweli aka mtengenezea nguo ya kumpendeza, ikakaa vizuri mwilin n.k. kwasababu mara nyingi sana fundi alozoea kukushonea nguo huweza kuijua shape yako na akaitengeneza nguo inayokufit kuliko fundi wa asokujua. at least for me this works.