JamiiForums imenipatia mke mwema

JamiiForums imenipatia mke mwema

hongereni na nawatakieni kila lenye kher katika maisha ya ndoa
 
Du! ni ngumu kutamka lakini hata mimi nampongeza kwa kupata mke,japo naamini kuwa uzuri wa mke anaujua mume wake lakini kwangu mimi mke wa mshikaji siyo mzuri sijamkubari mungu anisamehe.

Endelea kuto mkubali hivyo hivyo maana watu wote mkimkubali mtamuibia!! Hongera sana Blessing
 
Last edited by a moderator:
Hongera mkuu. Nimekubali mke mwema di sura wala umri. Mungu awape raha ya maisha ya ndoa.
 
comment yako inaendana na signature yako hongera mkuu We walk by Faith not by Sight
aaah Kaka blessings Mungu kambless kweli......
Hakuna mtu mbaya mkuu wote ni sawa ila macho ya binadamu ndo yanaweka tofauti.....
 
Hata hivyo mi nimefarijika kama huyo dada kapata mume hb kama kaka blessings kumbe one day na mimi nitaolewa pamoja na sura yangu hii.
you will never walk alone Mkuu kwenye hii Dunia.......ipo siku tutasherehekea harusi yako pia......
 
Hongera mkuu mpende shemeji yetu na umfanye mwenye furaha
 
wedding-wishes.jpg
 
mmh! hongera ila mkeo huyo ana sura ngumu kama vile mjeda! anyway si mbaya la muhimu kama ana pango la kukupunguzia ashki hakuna mbaya.
Ukute Avatar yake ni nzuri kama beyonce, Mwe ipo haja wana JF kutumia real picture badala ya Avatar za uongo. Unaweza ukaingia chaka hivi hivi kama mdau.
 
Wanaocheka ukiona hivyo hawajaolewa wanafanyiwa majaribio afu wanaolewa wengine. Nawafananisha na wachezaji wanaofanya mazoez afu match anapangwa mwingine. Poleni kwa ambao hamjaolewa inawezekana rizki yako ilikuja lkn unachagua sana.
 
Back
Top Bottom