educator2025
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 403
- 465
Duuh kaka blessings hongera sana kwa kupata mke mrembo zaidi ya WEMA SEPETU
Beauty is in the eyes of the beholder kwa kaka
blessings I think huyo ndo the most beautiful
woman in the universe ndo maana kamchagua
mnh, acha nongwa wewe... utaishia kusifia tu kwamba bwana harusi ndio mbyuti lakini jamaa ndo keshafunga vioo! Badala ya kutusifia akina NasDaz ili tukuondolee gundu la watu kumega na kuondoka, unasifia ambae keshasemaYan apo bi harus na bwana harus bwana harus ndio beautiful bibi harus cjui ni handsome au macho yang hayaon vizuri???
Haya anza kunisifia sasa...Please wadada msinitafute tena nimepata mwenzangu wa maisha!
mnh! cjui usemayo ni kweli manake nishaanza kukumezea mate,,,Halafu huyo dada kafanana na mimi,km unatafuta mke km huyo kamu zis wei 
mnh, acha nongwa wewe... utaishia kusifia tu kwamba bwana harusi ndio mbyuti lakini jamaa ndo keshafunga vioo! Badala ya kutusifia akina NasDaz ili tukuondolee gundu la watu kumega na kuondoka, unasifia ambae keshasema Haya anza kunisifia sasa...
Hee! Sweetheart... don' take everything serious kiasi hicho... we're just making funny here... wala hukuwa na sababu ya kuja juu kiasi hicho! anyway, am sorry dada... sorry millions times and if not enough, other billions of sorry!nikusifie nakujua.....unijui sikujui usikulupukie koments ovyo eti gundu mxiuuuuu waty wengine keyboard znawafichia mengi......pia kama we unagundu usidhanie kila mtu ana gundu kama zako
Hee! Sweetheart... don' take everything serious kiasi hicho... we're just making funny here... wala hukuwa na sababu ya kuja juu kiasi hicho! anyway, am sorry dada... sorry millions times and if not enough, other billions of sorry!
Unaona sasa... mtoto mzuri halafu unakuwa mkali kama pili pili, aaaaargh... kwanza ukali wenyewe wala hukupendezi!Okey ucjarii
Unaona sasa... mtoto mzuri halafu unakuwa mkali kama pili pili, aaaaargh... kwanza ukali wenyewe wala hukupendezi!
hahahahahaaa! Sweetheart, inakuhusu hii but cheza mbali nae manake dadaz wa kishua wote washashtuka na wanamkacha hivi sasa!Huyo sijamkagua ndo maana anakuwa mkali... mwambie aje kwa ukaguzi then utainjoi matunda ya bustani ya MMU