Jamii yetu ina wake bora wa kuoa!

Jamii yetu ina wake bora wa kuoa!

Wanawake wa kisukuma hua wanapika ugali mkubwa,
Halafu wanapika na kaugali kadogo,ambako ndio hua wanakatumia kama mboga.
Umenikmbush kuna mwamba alikuwag akiskia njaa,

Anapik ugali mdogo dakik 7 chap anakula mkavu bila mboga au na chumvi...
Baada ya hapo anapata nguv kidg za kusongea ugali ya pili sas mkubw 😂
 
Mmeanza kujitetea sio?

Mbona Binti wa zamani hua anajipaka samli?
Mume wangu mfugaji, na samli naitengeneza mwenyewe home na maziwa ya ng’ombe wetu.

Kila baada ya wiki 2 natoa kitu kipya 🧈 ni kujikandika mwilini na kumeremeta tu, ba mjengo akinipapasa ngozi inateleza mpaka raha 😋😎
 
Mume wangu mfugaji, na samli naitengeneza mwenyewe home na maziwa ya ng’ombe wetu.

Kila baada ya wiki 2 natoa kitu kipya 🧈 ni kujikandika mwilini na kumeremeta tu, ba mjengo akinipapasa ngozi inateleza mpaka raha 😋😎
Wanawake wa kisukuma mmekomaa viganja kwa kulima na jembe la mkono,
Hata mkimpapasa mtu utafikiri mnamkuna na jiwe.
 
Mimi toka Binti wa zamani anikatae,nimekua na hasira na wanawake wa kisukuma wote,
Labda wafanye mkutano wamshawishi anikubali ndio tutamaliza tofauti zetu.
Hebu jaribu na kwa wanyakyusa, wanaweza kukukubalia, hakuna mtu wa kufanya hiyo mikutano usukumani!!
200.gif
 
Kaka yangu kuna tuhuma zenu huku Manyanza hebu njoo ujitetee 🤣🤣
Dada wane unajua kama nimezaliwa Kusini mwa Tanzania baada ya miaka mitano nikarudi kijijini kupitia ile michakato kuchunga ng'ombe, mbuzi na kuamka saa 10 usiku kwenda kulima baada ya hapo nikarudi Kusini tena ( Shule) nikaenda Jijini Dar (Shule na Chuo)

Nikaenda Visiwani Kikazi, nikaenda mahali fulani nikakutana na Wakoroni wetu waliotutawala almanusra nifyatue Copy 🤣🤣🤣

Sasa hizo pigo za Kinyantuzu sina kabisa japo Ntunzu ni mjuaji kuliko ujuaji wenyewe.
 
Yani wewe Binti hata kama ni uzi wa mapishi lazima uuhusishe na mambo ya kulana!

Ipo siku hata kwenye uzi wa msiba utaingiza mambo ya kuzagamuana.
Si nimesema ni part ya culture yetu, sasa hujaelewa nini hapo?

Ndiyo maana nilikukataa mwanaume gani una kichwa kigumu hivyo 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom