Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 6,044
- 9,179
Yaani wale wachunga wanaua watu kule lindi sana yaani hawana utu kabisaKivip mkuu?
Yaani wale wachunga wanaua watu kule lindi sana yaani hawana utu kabisaKivip mkuu?
Sasa kumfanyaje na tunaishi mjini?Ukimpiga maji huyo unamkosa walahi... Kina asumani sio watu wazur.,
Anavyofika hata salamu nae hawatak, ngoj ale chapati mayai, apake na ka Movit😂
Sio masai?Yaani wale wachunga wanaua watu kule lindi sana yaani hawana utu kabisa
Wamang'ATI hao sio masai...aisee wanaua balaa ila sema tu hawajafika huku uwanda wa wamakonde ambao ni watu makatili mnoSio masai?
Mchawi asumani amini mkuu... Mjini sio poaSasa kumfanyaje na tunaishi mjini?
Ndio nauliza kaka ssa mimi nipo mjini nikioa nimfanyajeMchawi asumani amini mkuu... Mjini sio poa
Basi kajionee undani wo uje kutupa ushuhida!Ila ni warembo 🤣 nawajua vizuri sana ila kitabia siwajui
Hapo chakukushaur hama mjini tu 😂 vinginevyo hakikisha haendi hata dukani au uwe na nyumb yako hujapangaNdio nauliza kaka ssa mimi nipo mjini nikioa nimfanyaje
Kumbe na hicho kingine huwa unatumia kwenye kufikiri na kuelewa mambo, aiseeh 😂 Gudubai 👋🏽Kichwa kipi sasa?
Maana ninavyo viwili.
Kwani nyie mna vichwa vingapi? na viko wapi na wapi?Kichwa gani/cha wapi🙂!
Wasukuma wana shape za simba?!!!Hapo kwenye makebo na umbo mnyumbuliko nakataa.
Wasukuma wengi wao wana shape za simba.
Mimi ni kaka yao kwahiyo niandikacho ni uhakika.
Tena ukitaka kuoa Msukuma og wala usijichanganye kwenda lake zone. Nenda Mpanda, Mbeya au Malinyi huko ndo kuna wasukuma wenye maadili mazuri ila mahari yake imechangamka haswa.
Bado hujasema, eenhe nini kingine tulichobarikiwa nacho 🤣🤣Wanawake wa kisukuma mmekomaa viganja kwa kulima na jembe la mkono,
Hata mkimpapasa mtu utafikiri mnamkuna na jiwe.
Aisee kama ni hivyo hawafaiHapo chakukushaur hama mjini tu 😂 vinginevyo hakikisha haendi hata dukani au uwe na nyumb yako hujapanga
Hakuna mkae mgumu mbele ya chai Mkuu 😂Aisee kama ni hivyo hawafai
Hata Queen Elizaberth Sio mgumu ni vile anajikaza kulinda brabd 😂 asumani pale anapitaAisee kama ni hivyo hawafai
Nikubalie basi,Baso hujasema, eenhe nini kingine tulichobarikiwa nacho 🤣🤣
Ukawaonyesha watu kile kipilipili hoho chako, itakua umewatraumatize wanajukwaa maskini.Baki njia kuu binti, jana nimepita selfika huko naambiwa "pita uchi wacha maneno mingi", basi bwana sijui ni shetani gani aliniingia kichwani si nikapita uchi kweli na vile nilikuwa bafuni muda huo. Sasa hapa napata stress isijekuwa watu wali-download kichwa changu wanakitumia bila mimi kujua. Enewei mimi ninavyo viwili kimoja kipo juu ya shingo kingine ndo kile nimeweka kwenye uzi wako jana. Karibu kama upo interested 😋!