Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,375
- 85,608
thoba noko! 😅Hivi matusi ni sehemu ya utamaduni wa kisukuma ?
thoba noko! 😅Hivi matusi ni sehemu ya utamaduni wa kisukuma ?
Ndio maana nikasema vitu vizur vinagharamiwa, na huwa kuna tyme unaruhusiwa kuongea na mwali 😂 hapo sasa ushapewa somo namna ya kumjua kama ni used au newAisee kama wapo hivyo sio vibaya hakuna kitu kinauma kama kutozwa pesa nyingi na mtu used
Hapana ila kuukalia na kuusugua mchi kwa kutumia vinu vyetu mpaka tumiminiwe watoto 💦 ni sehemu ya culture ndiyo maana tunazaa sana 😎Hivi matusi ni sehemu ya utamaduni wa kisukuma ?
Hao wamasai banaDemu wa kisukuma anaoga vizuri tu mtoni ila mwisho wa siku anajipaka mwilini mafuta ya Samli,
Basi siku nzima anakua ananuka harufu ya Ng'ombe tu.
Mkuu sio kunuka 😂 ni kunukia bhnDemu wa kisukuma anaoga vizuri tu mtoni ila mwisho wa siku anajipaka mwilini mafuta ya Samli,
Basi siku nzima anakua ananuka harufu ya Ng'ombe tu.
Halafu mwanamke wa kisukuma llazima ajue kupiga mruzi/Mluzi,kisa kukimbiza Ng'ombe mchana kutwa.Hao wamasai bana
Hebu tuwache mkuu, kwa raha zetu! 😅Halafu mwanamke wa kisukuma llazima ajue kupiga mruzi/Mluzi,kisa kukimbiza Ng'ombe mchana kutwa.
Ingia Mwanza Bush, Shinyanga Bush(Mostly ya wasukuma wastaarabu), Geita Bush (Wastaarabu pia) lakin sikushaur wasukuma wa tabora (wanyamwez) wana tabia zao wao wenyew wanazijua 😂Kwahiyo kama machimbo yapi
Yani wewe Binti hata kama ni uzi wa mapishi lazima uuhusishe na mambo ya kulana!Hapana ila kuukalia na kuusugua mchi kwa kutumia vinu vyetu mpaka tumiminiwe watoto 💦 ni sehemu ya culture ndiyo maana tunazaa sana 😎
Watakuwa wasukuma wa tabora hao! 😂
Wanawake wa kisukuma wa Tabora,wengi wao hua wananuka tumbaku tu muda wote.Ingia Mwanza Bush, Shinyanga Bush(Mostly ya wasukuma wastaarabu), Geita Bush (Wastaarabu pia) lakin sikushaur wasukuma wa tabora (wanyamwez) wana tabia zao wao wenyew wanazijua 😂
Ila kuna hawa wanaitwa Ntuzu... Baba hapo kutukanwa tusi zito na wazazi wako wakijumlishwa ni suala la kugusa tu 😂
msitutenge tulio mjini jamaniIngia Mwanza Bush, Shinyanga Bush(Mostly ya wasukuma wastaarabu), Geita Bush (Wastaarabu pia) lakin sikushaur wasukuma wa tabora (wanyamwez) wana tabia zao wao wenyew wanazijua 😂
Ni wazuri mno halali yao jamani!😅Ila kuna hawa wanaitwa Ntuzu... Baba hapo kutukanwa tusi zito na wazazi wako wakijumlishwa ni suala la kugusa tu 😂
Kaka yangu kuna tuhuma zenu huku Manyanza hebu njoo ujitetee 🤣🤣Usiombe Ntuzu aingie Town, Humwambii kitu anabishana mpak mishipa ya kichw inamtoka 😂 Jamaa juaji sana hizi
Ukiachana na hilo, Nahisi baada ya Chagga beauties, Nyamwezi beauties wanafuata kwa 😂 au basiWanawake wa kisukuma wa Tabora,wengi wao hua wananuka tumbaku tu muda wote.
Wasukuma gani hao uliowajaribu ukaona wao na mambo hayo hawaendani ? na unaomba nikuthibitishiaje mkuu, hebu nipe muongozo!Huu ni uongo unless unithibitishie. Wasukuma na hizi mambo wapi na wapi!
Kwanini tuachane na hilo mkuu?Ukiachana na hilo, Nahisi baada ya Chagga beauties, Nyamwezi beauties wanafuata kwa 😂 au basi
Daah 😂Wanawake wa kisukuma hua wanapika ugali mkubwa,
Halafu wanapika na kaugali kadogo,ambako ndio hua wanakatumia kama mboga.