Jamii yetu ina wake bora wa kuoa!

Jamii yetu ina wake bora wa kuoa!

Si kweli.
Hao wenye maumbo ya simba wapo Mbeya.
Hapa namsaidia mkuu Kisima , wanawake wa Mbeya (Wanyakyusa) wanasifika kwa T3, 1. Mikia, 2.Tits 3.Tumbo

Ingawa Mbeya pia utakutana na wasafwa ambao ndiyo wenyeji wa Mbeya yao na wanyiha (kwasasa wameingia Songwe) Inawezekana katika hayo makabila 3 unawaongelea moja ya hao wengine.

Umbo la simba analoongelea mkuu hapo ni wale wamejazia juu.
 
Uzuri wa mke upo machoni mwa mume, ila kwangu mimi kabila la wa makonde linatoa wake bora kabisa, maana sio kwa viuno vile [emoji39]
 
Back
Top Bottom