Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Mhasibu Mwandamizi kutoka Wizara ya Fedha, CPA Jenipha Josephat Ntangeki ametoa ushauri huo wa Wosia wakati akitoa elimu kuhusu umuhimu wa jamii kuzingaia wosia alipokuwa akishiriki Kongamano la Wanamitandao ya Kijamii na Wizara ya Fedha kwenye Ukumbi wa 88 Mkoani Morogoro, Jumanne Oktoba 24, 2023.
Mhasibu Mwandamizi wa Wizara ya Fedha, CPA Jenipha Josephat Ntangeki
Jenipha amesema “Nashauri jamii iwe na uelewa wa kuandika wosia, kuna watu wengi wamekuwa wakisababisha wategemezi wao kupoteza stahiki zao walizotakiwa kuzipata baada ya wao kutokuwepo, saabu kubwa ikiwa ni kutozingatia uandishi wa wosia.”
Amesema kuna kesi nyingi zimetokea kwa watu wengi kutopata kile walichotakiwa kukipata kwa kuwa Wasimamizi wengi kama wazazi, mzazi au walezi hawakuzingatia kuandika wosia.
Kujua zaidi kuhusu Wosia pia unaweza kusoma:
= Hatua na Taratibu za Kufungua Maombi ya kusimamia Mirathi Mahakamani
= Ijue Sheria ya MIRATHI, WOSIA na Usimamizi wa mali zitokanazo na Mirathi
= Wazazi/Walezi andikeni WOSIA muwaache wategemezi wenu salama
Mhasibu Mwandamizi wa Wizara ya Fedha, CPA Jenipha Josephat Ntangeki
Amesema kuna kesi nyingi zimetokea kwa watu wengi kutopata kile walichotakiwa kukipata kwa kuwa Wasimamizi wengi kama wazazi, mzazi au walezi hawakuzingatia kuandika wosia.
Kujua zaidi kuhusu Wosia pia unaweza kusoma:
= Hatua na Taratibu za Kufungua Maombi ya kusimamia Mirathi Mahakamani
= Ijue Sheria ya MIRATHI, WOSIA na Usimamizi wa mali zitokanazo na Mirathi
= Wazazi/Walezi andikeni WOSIA muwaache wategemezi wenu salama