Jamhuri: Mbasha alibaka ndani ya gari

Jamhuri: Mbasha alibaka ndani ya gari

mkuu, mtu anapobaka huwa haingizi taratibu--anaingiza kwa fujo--na hiki ndicho chanzo cha maumivu.




Mkuu kumradhi naona nawe utakuwa mbakaji umejuaje hiyo mambo au ushawahi bakwa?
 
mbakaji alikuwa akitishia kumuua endapo angetoa siri ya ubakaji huo lakini alipobaka mara ya 3 uvumilivu ukamshinda mbakwaji ndipo akatoa siri kwa nduguze ambao walimsaidia kupata msaada wa kisheria. wewe ulitaka abakwe mara 100 hadi aambukizwe mimba na ukimwi ndipo ashitaki?

nani kasema akibakwa mara mia, nataka angebakwa mara moja ndo angeshitaki.. inakua ka mchezo ka kila siku afu anakaa kimya tu... hiyo noma sana.... ila huyo mdada naye hajisomi, unatishiwa kuuliwa then unamezea, once, then twice.. hivi ni mkubwa kiasi gani huyo mdada? afu i doubt kama kazaliwa mjini..
 
Kumbuka umri wa ndoa kwa mwanamke Tanzania ni miaka 15 na, ikiwa ni kweli, umri wake wa miaka 17 si kisingizio kuwa kabakwa.

kwa hiyo kumbe kinacho-determine kwamba mwanamke amebakwa ni umri wake sio ushahidi? naona umeng'ang'ania sana suala la umri. hivi kikongwe kama wewe ukibakwa hakutakuwa na kesi kwa sababu uko above 50?
 
Hapana hajamuoa, isipokuwa kigezo cha umri kwenye kubakwa, si valid kwa huyo binti mwenye miaka 17. Kwani umri aliokuwa nao anaruhusiwa kisheria kuingiliwa kimwili, ulifikiri maana ya kuwekwa umri kwenye kuruhusiwa kuolewa ni nini?

kuingiliwa kimwili bila ridhaa (kubakwa) hata ukiwa kikongwe sio kosa kisheria?
 
mkuu, mtu anapobaka huwa haingizi taratibu--anaingiza kwa fujo--na hiki ndicho chanzo cha maumivu.




Mkuu kumradhi naona nawe utakuwa mbakaji umejuaje hiyo mambo au ushawahi bakwa?

mkuu, nimewahi kubaka lakini msichana niliyembaka ni above 18, so nina uzoefu wa mambo hayo.
 
kuingiliwa kimwili bila ridhaa (kubakwa) hata ukiwa kikongwe sio kosa kisheria?

Kubakwa kosa kisheria, lakini kumbuka, hapo inakuwa kesi ya kubaka tu na si ya umri mdogo tena? upo hapo ulipo. Sasa kwa kuwa ya umri tushaipangua, twende kwenye kubakwa>

Imeandikwa humu alibakwa mara tatu, mara tatu zote kwa siku hiyo hiyo? lini toka aripoti? ushahidi? nani aliona? ana michubuko? ana nguo zilizo chanwa? wapi? ilichukuwa muda gani, shoot-recovery-shoot-recovery=shoot. Kumbuka yule ni binadam na si jogoo!

Kama ni siku tofauti, aliripoti wapi? mara ya kwanza, ya pili ya tatu?

Hii si kesi ni majungu tu, na wakili mzuri anashinda tu, tena amini nakwambia, usije siku za usoni ukasikia mtoto wa kike kaungama kuwa alishinikizwa tu aseme huo uongo. Subiri audhiwe kidogo na huyo mwanamke anaemfuga kwa maslahi yake. Maan hii kesi huyo mtoto kashikilia mpini na huyo mama kashikilia makali inabidi Amandie kila alitakalo asije akakasirika, mpaka lini? Na pia kuna mbinu za kumsukumia fedha kwa njia ya BF mwenye noti ili mtoto arubuniwe akaseme ukweli.

Hapo sasa.
 
  • Thanks
Reactions: prs
Kisimplesiple hivi hivi Babu Seya akala mvua ya maisha...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kisimplesiple hivi hivi Babu Seya akala mvua ya maisha...


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ya babu Seya ilikuwa organized crime.

Hii ya huyu mtu na mkewe kila mtu anajuwa ndoa ilikuwa na matatizo muda mrefu kabla ya tuhuma hizi za kubaka.
 
Kisimplesiple hivi hivi Babu Seya akala mvua ya maisha...


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ajabu ni kwamba hawakupata MAUMIVU MAKALI.Na walikua wadogo kuliko huyu,Labda Babu seya ni kibamia..Only in Tz asee
 
uzuri nje ndani nothing.

Uzuri wa mkakasi ndani kipande cha mti. Ee bana lakini mtoto kajaaliwa si mchezo. Toto zuri kama lile hata CHUMVINI mie nazama na liwalo liwe!
 
Kisimplesiple hivi hivi Babu Seya akala mvua ya maisha...


Sent from my iPhone using JamiiForums

Babu Seya's case was planned. Hii kesi ya Mbasha ni ya KWELI na asipopata mawakili makini, lazima aende kukalia ndoo. Kuna circumstances zinazochangia kudhihirisha kwamba jamaa kweli alibaka:

1. KUKIMBIA NYUMBANI KWAKE: Kama anajiamini hajabaka, kwanini aliikimbia nyumba yake wakati anasakwa na polisi.

2. KUMTUMA NDUGU YAKE AONGEE NA MWANDISHI: Mwandishi wa Mwananchi alipompigia simu alijifanya hamsikii na akakata simu. Baadaye alimtuma ndugu yake 'AKAONGEE' na Mwandishi. Alikuwa anataka kuficha nini?

3. NAMNA ALIVYOBAKA: Alimrubuni shemejiye apande garini waende 'KUMTAFUTA' Flora ili apate nafasi ya kumbakia garini. Kulikuwa na haja gani ya kuambatana na shemejiye 'kumtafuta' Flora kana kwamba alikuwa AMEPOTEA?

Hii kesi ikisimamiwa na wakili makini, Mbasha atafungwa kabla hata adhana ya alfajiri haijapigwa! Chezea Jamhuri wewe! Serikali ya JK ipo makini sana.
:yield:
 
Oopss, ni 15 Baada ya kurekebishwa hivi karibuni) lakini still ni chini ya 17.

Hiyo miaka 15 imetamkwa kwenye SOSPA 1998 na ina masharti yake, moja asiwe shuleni na pili kuwe na consent ya wazazi wa binti (na tenda sio ni kuoana na sio vinginevyo). La shuleni sawa je kulikuwa na consent ya wazazi kuwa Emma atembee naye? Pili kinachozungumziwa ni kubaka...kufanya mapenzi bila ridhaa ya mwanamke. Sasa Ridhaa pia haitambuliki kisheria kama mhusika ana below 18.

Vinginevyo tunaamua tu kubishana ili tubishane lakini kama ni 17 na binti akakomaa...hata kama alivua mwenyewe na kesho yake akamwambia jana ilikuwa tamu shemeji twende tena na keshokutwa yake na mahakama ikaambiwa na kuthibitishiwa hivyo (mathalan binti ndio alimtaka Emma) bado, Emma hachomoki kwani sheria inatafsiri kitendo hicho kama kubaka kwasababu chini ya miaka 18 hakuna hiari isipokuwa tu kwa masharti niliyoeleza hapo juu.
 
alibakwa mara tatu... hii rekodi ya dunia, mtu kwa free will unabakwa mara tatu umetulia tu.. labda ka alikua anafungiwa somewhere as in kua kidnapped afu msela anajipimia akitaka.. huyu jamaa na familia yake cheche sana, matatizo ya familia wameyakuza wee, mwishowe mtu atafia gerezani, inabidi wakae wote familia na huyo mbakaji wafikirie twice which way they wanna take, njia hii itapelekea lifetime torture, u wont have a peace of mind kujua ulisababisha mtu afungwe jela for a lifetime...

Kweli aisee this guy ataishia jela awe mke wa watu tu jela for life time aisee. Wanamuharibia future!!! Ameshamuacha amuache inatosha
 
Hiyo miaka 15 imetamkwa kwenye SOSPA 1998 na ina masharti yake, moja asiwe shuleni na pili kuwe na consent ya wazazi wa binti (na tenda sio ni kuoana na sio vinginevyo). La shuleni sawa je kulikuwa na consent ya wazazi kuwa Emma atembee naye? Pili kinachozungumziwa ni kubaka...kufanya mapenzi bila ridhaa ya mwanamke. Sasa Ridhaa pia haitambuliki kisheria kama mhusika ana below 18.

Vinginevyo tunaamua tu kubishana ili tubishane lakini kama ni 17 na binti akakomaa...hata kama alivua mwenyewe na kesho yake akamwambia jana ilikuwa tamu shemeji twende tena na keshokutwa yake na mahakama ikaambiwa na kuthibitishiwa hivyo (mathalan binti ndio alimtaka Emma) bado, Emma hachomoki kwani sheria inatafsiri kitendo hicho kama kubaka kwasababu chini ya miaka 18 hakuna hiari isipokuwa tu kwa masharti niliyoeleza hapo juu.

Umenena vyema kabisa. Na huko kubakwa hakujajulikana mpaka walipokorofishana mke na mume?
 
Umenena vyema kabisa. Na huko kubakwa hakujajulikana mpaka walipokorofishana mke na mume?
mmmh!!!!!!!!!
huyu binti aliwah kucheza filam moja na ile filam ilifungiwa alicheza na mrisho ngassa na ilikuwa ni ngono, thanks kwamba hili sio kosa ila la kubakwa ndo kosa..........................
 
Back
Top Bottom