Jamhuri: Mbasha alibaka ndani ya gari

Jamhuri: Mbasha alibaka ndani ya gari

Mkali si kesi iliisha kitambo ...alafu n kama kaludiana na mke wake tena......kweli mapenz yana run duniaaa....nngechinja mtu na kula nyama yake

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
 
Natumaini unaposema "Maisha ya Mtu" na binti pia anahusika hapo kama ambavyo Emma anahusika.....

Anyway lets wait an see maana tusijekuhukumu kabla ya mahakama though kwa ufahamu wangu mdogo wa mambo ya kisheria (mimi sio mwanasheria) kinachohitajika katika kesi ni evidence.... Kwamba ni kweli anayedai kubakwa (hata kama alivua mwenyewe) yupo under 18 sioni Emma anapochomokea na kukawa na evidence ya kuwa kitendo chenyewe kilifanyika na wahusika wakakomaa na kesi ni ngumu sana. Pona ya Mbasha katika mazingira kama hayo ni mazungumzo ya kifamilia ama binti akakanushe aliyokwisha eleza polisi (na hapo wanaweza kumgeuzia kibao ni kumfungulia mashtaka na kuisumbua jamhuri au kutoa taarifa za uongo nk) au binti apotee asionekane mahakamani baada ya muda shtaka litafutwa...Huo uzuri wa wakili mpaka sasa siuoni uta-play part wapi.

Jee, unakumbuka hii?

Sema.
 
Uchunguzi wa polisi unaonyesha kwamba muimbaji nguli wa nyimbo za injili nchini, Emmanuel Mbasha, alimbaka shemejiye ndani ya gari mara 3. Mbasha anashtakiwa na Jamhuri baada ya kumbaka shemejiye huyo mwenye umri wa miaka 17 na kumsababishia maumivu makali sana. Aidha alimvurugia matumaini ya kuendelea na masomo hasa ukizingatia kwamba binti alikuwa bado ni mwanafunzi, na pia kumweka katika hatari ya kumuambukiza magonjwa ya ngono kama ukimwi.

Adhabu kwa wanaume wanaopatikana na hatia ya kubaka watoto wadogo ni kifungo cha maisha jela pamoja na kuchapwa viboko.

Hata hivyo, Mbasha bado anakana kuhusika na ubakaji huo. Lakini mbivu na mbichi zitajulikana baada ya kusomwa hukumu.

Mei ya mwaka huu kwan huu mwez wa ngp,??
 
Back
Top Bottom