alibakwa mara tatu... hii rekodi ya dunia, mtu kwa free will unabakwa mara tatu umetulia tu.. labda ka alikua anafungiwa somewhere as in kua kidnapped afu msela anajipimia akitaka.. huyu jamaa na familia yake cheche sana, matatizo ya familia wameyakuza wee, mwishowe mtu atafia gerezani, inabidi wakae wote familia na huyo mbakaji wafikirie twice which way they wanna take, njia hii itapelekea lifetime torture, u wont have a peace of mind kujua ulisababisha mtu afungwe jela for a lifetime...
mkuu si umeshaambiwa ndani ya gari...ukute alikuwa anamfungia humoalibakwa mara tatu... hii rekodi ya dunia, mtu kwa free will unabakwa mara tatu umetulia tu.. labda ka alikua anafungiwa somewhere as in kua kidnapped afu msela anajipimia akitaka.. huyu jamaa na familia yake cheche sana, matatizo ya familia wameyakuza wee, mwishowe mtu atafia gerezani, inabidi wakae wote familia na huyo mbakaji wafikirie twice which way they wanna take, njia hii itapelekea lifetime torture, u wont have a peace of mind kujua ulisababisha mtu afungwe jela for a lifetime...
naona hukusoma post yote ukamaliza mkuu... mara ya kwanza nyumbani, then siku nyingine wanaongozana kwenye gari akafanya mishe tena.. hao wawili wanajua kilichotokea mimi sanasana nafanya assumption tu kua dada mwenyewe kama alifanya basi alipenda ndo maana akatulia.. still assumptions labda jamaa alikua na technique za kumnyamazishamkuu si umeshaambiwa ndani ya gari...ukute alikuwa anamfungia humo
''na kumsababishia maumivu makali sana''...................Waandishi wa habari, yaani ukisikia habari ya mtu kubakwa lazima hii sentensi iwepo.
Hivi kila anayebakwa huwa anasababishiwa maumivu makali sana?!
Anasoma shule gani? Ili kama anasoma na mwanangu nimuhamishe?????
Inashangaza sana, eti mara kwanza alimbaka nyumbani baada ya siku kadaha wakatoka kwenda kumtafuta frola akambaka tena kwenye gari. yaani unambaka mtu then mnafuatana? why hakushitaki mara kwanza?
naona hukusoma post yote ukamaliza mkuu... mara ya kwanza nyumbani, then siku nyingine wanaongozana kwenye gari akafanya mishe tena.. hao wawili wanajua kilichotokea mimi sanasana nafanya assumption tu kua dada mwenyewe kama alifanya basi alipenda ndo maana akatulia.. still assumptions labda jamaa alikua na technique za kumnyamazisha
Umenena vyema kabisa. Na huko kubakwa hakujajulikana mpaka walipokorofishana mke na mume?
Uchunguzi wa polisi unaonyesha kwamba muimbaji nguli wa nyimbo za injili nchini, Emmanuel Mbasha, alimbaka shemejiye ndani ya gari mara 3. Mbasha anashtakiwa na Jamhuri baada ya kumbaka shemejiye huyo mwenye umri wa miaka 17 na kumsababishia maumivu makali sana. Aidha alimvurugia matumaini ya kuendelea na masomo hasa ukizingatia kwamba binti alikuwa bado ni mwanafunzi, na pia kumweka katika hatari ya kumuambukiza magonjwa ya ngono kama ukimwi.
Adhabu kwa wanaume wanaopatikana na hatia ya kubaka watoto wadogo ni kifungo cha maisha jela pamoja na kuchapwa viboko.
Hata hivyo, Mbasha bado anakana kuhusika na ubakaji huo. Lakini mbivu na mbichi zitajulikana baada ya kusomwa hukumu.