James Sinclair: A Friend or Foe?

Lakini baadhi ya wapinzani tunaowategemea nao wameshanunuliwa na hawa watuhumiwa wa ufisadi, je kunani hapo??
vipi kuhusu membe na kauli zake zenye utata na kwa jinsi alivyokuwa mstari wa mbele ktk mkutano wa sulivan huku mwenye dhamana (Nagu) akialikwa kama mgeni... je naye ana ajenda zake??? maana nchi hii imegeuzwa kama mti wa matunda mwituni kila mtu anajichumia anajilia kivyake kwa wakati wake....
 
Mungu wangu, sasa tufanyaje wajameni??

Lakini yana mwisho haya

Wabunge kina Slaa,Zitto na wengineo wameshaonyesha njia kuwa ni lazima hizo sheria walizozibadilisha kwani ni ukiukwaji wa katiba yetu.
Sheria ziwe ni za kutunufaisha sisi na mali zetu na si makampuni hayo!
Haiwezekani kuwa makampuni yawe na wawakilishi na wananchi tuwe kapa!
Msanii nakuhakikishia utaona mengi sana...Kwani inawezekana kuna wabunge wachache sana ambao wanawawakilisha wananchi kikweli kweli.
Na ili kuwajuwa hao...Ni lazima kabla ya mijadala yote ya ripoti za kamati kama ya madini nk...Kama alivyotangulia kusema Dr Slaa kuwa watatangaza kama wana hisa kwenye makampuni hayo ama la!
Na pia nafikiri tuna haki ya kuhakikisha kuwa kila walichokileta bungeni kipigiwe kura kilikuwa na manufaa na mwananchi na si vinginevyo!
Hivyo basi ndio maana bado wanatakiwa wafunguliwe mashitaka.
 
ila mkuu Mushi,
kila inapofika wakati wa uchaguzi wananchi wanakuwa kama wazazi, yaani wanasahau machungu yao kwa muda kisha wanawachagua walewale (majambazi) halafu baada ya muda majuto yanarudi kama kawa.... nina wasiwasi yale ya ungaunga bungeni yanafanyika hata majimboni pia.... why tusahau taabu zetu wakati wa uchaguzi??? kama si kulogwa ni nini tena?
 
ila mkuu Mushi,
kila inapofika wakati wa uchaguzi wananchi wanakuwa kama wazazi, yaani wanasahau machungu yao kwa muda kisha wanawachagua walewale (majambazi) halafu baada ya muda majuto yanarudi kama kawa.... nina wasiwasi yale ya ungaunga bungeni yanafanyika hata majimboni pia.... why tusahau taabu zetu wakati wa uchaguzi??? kama si kulogwa ni nini tena?

Nawapa wazalendo HINT....WAFUATILIE "The effect of yellow journalism."

Wapinzani wako kwenye hatua nzuri kwani wako vijijini na hatua zaidi ni lazima zichukuliwe kwani wananchi wanataka tu kiongozi!

Wamechoshwa kabisa!

Kila idara imeoza na mapinduzi yanaweza kutokea kwani hakuna unafuu kabisa kwenye maisha ya masikini na kwa mtizamo wangu...Tunakoelekea ni KUBAYA ZAIDI haswa haswaki ugumu wa maisha!

Watu bado hawajaona rangi huu ni mwanzo tu.

Ndani ya mwaka na hata miezi inayokuja hapo mbeleni mambo hayatabiriki kabisa haswa linapokuja kwenye swala la uchumi wetu ambao umeharibiwa na mafisadi waliotanda duniani kote.

Hivyo wakati huu ni wakati rasmi wa kupeleka ujumbe kila mahali in any means necessary.
 
Paul Kangas' Stocks in the News

Wednesday, January 02, 2008
kangas.jpg

JEFF YASTINE: The Dow held its own in the first half hour of trading, but at 10:00 a.m. Eastern, the Institute for Supply Management`s manufacturing survey showed a sharp decline and that raised fears again about an economic recession. The Dow dropped more than 200 points after that over the next three hours. An afternoon rally attempt failed and both indexes finished near their lows of the day. So the Dow falling 220.86 to close at 13,043.96 and then the NASDAQ dropped 42.65 to 2609.63. The S&P 500 ended down 21.2 to finish at 1447.16. In the bond market, the 10-year note gaining 1 2/32 to 102 25/32, dropping the yield down to 3.91 percent.
And SLM Corp (SLM), Sallie Mae, the student lender, leading our actives, 20 million shares falling $0.78, no specific news there. Citigroup (C) down $0.52. At least one analyst thinks Citi's new management will seek larger than expected write offs during the fourth quarter. Dick Buvay (ph) of Punk Siegel (ph) lowered his 2007 and 2008 earnings estimates for Citigroup.
Pfizer (PFE) gaining $0.18.
GE (GE) losing $0.31. The company's GE Capital unit and Blackstone, the private equity group, calling of their $2 billion deal to buy one of the largest mortgage originators PHH.
Bank of America (BAC) losing $0.70. The analyst at Sanford Bernstein sees a bigger write off there, $5.5 billion for the fourth quarter.
Then we have Ford Motor (F) topping our list here, down $0.13.
Advanced Micro Devices (AMD) losing $0.36 or almost 5 percent. Bank of America downgrading eight semiconductor stocks. AMD was one of them that really hurt the NASDAQ today.
EMC Corp (EMC) losing $0.51.
Qwest Comms Intl (Q) off $0.21.
JPMorgan Chase (JPM) down $1.10. Sanford Bernstein, again, an analyst there seeing $1 billion more in write downs at JPMorgan in the fourth quarter.
There were some gainers today, notably the gold stocks. Barrick Gold (ABX) rising $3.97 on today's record high gold price of $860 an ounce in New York trading and that helped all the other gold stocks.
Goldcorp Inc (GG), Gold Fields (GFI), Kinross Gold (KGC), Newmont Mining (NEM) all doing very well into the closing bell.
Boeing (BA) shares down $0.84.
And then we have AMR Corp (AMR), parent of American Airlines, falling $0.73. Goldman Sachs sees a larger than expected $0.71 a share loss at AMR in the fourth quarter.
Then Delta Air Lines (DAL) losing $1.10. Oil at nearly $100 a barrel, not helping any of the airline stocks get off the ground today.
BJ's Wholesale (BJ) down more than $4. JPMorgan downgrading the stock because of its high valuation.
Then LDK Solar (LDK) rising $2.36. The solar panel maker expecting up to $1 billion in sales for this year.
Verifone Holdings (PAY) shares fell $3.44. The company needs to restate earnings for most of 2007, but Verifone doesn't see those restatements coming out before March at the earliest.
Textron (TXT) shares down $4.49. Citigroup downgraded those based on a big 50 percent jump in the stock price last year.
On the NASDAQ, Apple (AAPL) topping the actives, falling more than $3.
Google (GOOG) off more than $6.
Research in Motion (RIMM) just up a fraction.
Microsoft (MSFT) losing $0.38.
Intel (INTC) getting caught up in that Bank of America downgrade of the chip makers, down $1.31.
Then we have Baidu.com (BIDU) off nearly $8.
Cisco Systems (CSCO) off $0.53.
Amazon.com (AMZN) bucking the trend, up $3.61. Citigroup says Amazon has one of the best fundamental outlooks among the Internet stocks.
Qualcomm (QCOM) losing nearly $1.
Oracle (ORCL) off about $0.09.
Then we have Akeena Solar (AKNS) adding nearly $3.50, a 43 percent jump after inking the deal with Suntech Power Holdings. It will allow wider distribution of its solar panel technology.
And finally, shares of Echostar Holding Corp (SATS), this is a new issue, rising $13 or 73 percent, first day of trading. It's a spin off of Echostar Communications and it contains their set top box business and certain satellite assets.
Those are our stocks in the news tonight
 
Waargentina washapitia hayo hayo na uamuzi wao mnauona!

ARGENTINA: Famatina Says NO to Barrick Gold

by David Modersbach, Mines and Communities
March 20th, 2007

In the Argentine province of La Rioja, an astonishing series of events have lead to the ouster of a corrupt pro-mining provincial governor and the apparent withdrawal of gold mining giant Barrick Gold from operations on the Famatina range. Who was responsible for these events? A small group of dedicated neighbors who are fighting tooth and nail to save their mountain range from open-pit mining exploitation.

On March 13, 2006 the capital city of La Rioja was rocked by turmoil and disturbances marking the sudden ouster of governor Ángel Maza. His ouster was based on charges of corruption arising from his relations with Barrick Gold, and was marked by violence, hired thugs and a systematic burning and destruction of evidence linking the gold mining giant to the now-deposed governor. The new interim governor has pledged to outlaw open-pit metals mining with cyanide and set a date for a public referendum on the issue. Barrick Gold announced the dismantling of their mining camp, and withdrawal from exploratory activities in the Famatina range.

As of this moment (March 21 2007), activists still positioned in Peñas Negras 5,400 feet up on Mt. Famatina, are entering the third week of a blockade of the road winding up Famatina to the Barrick Gold encampment. They are permitting Barrick employees and machinery to leave, but not to enter. And they vow to not abandon their vigil until Barrick Gold is gone for good, and a provincial law is in effect prohibiting open-pit mining on their beloved mountain.

What happened in La Rioja? This brief description of the events is based on observation, history and a very nice article published by the Argentine journal La Vaca (www.lavaca.org ). By analyzing what took place in La Rioja, we can perhaps hone our strategies in other locations where the metals mining giants may appear to have a firm foothold – but in the face of popular movements, perhaps their power isn't as strong as they would like us to believe.

Barrick Gold In San Juan and La Rioja, Argentina

Up to now, Barrick Gold, the world's largest gold mining firm, has been accustomed to operating with total impunity in Argentina. Barrick Gold has been a major player for years in the Andean province of San Juan where their Veladero project was approved and constructed without any form of public input, and is now in production. The huge Pascua Lama project was railroaded through environmental approval processes against a great deal of protest in both Chile and Argentina and construction is now eminent.

Barrick has carried out an intense campaign of social and economic insertion in the province of San Juan, hosted by provincial Governor José Luis Gioja. Gioja, a local strongman in this poor, beautiful and sparsely populated mountain and desert province, has built a political power structure entirely dedicated to the promotion of transnational mining. In San Juan, Gioja and Barrick have kept opposition at bay by manipulation of the media, strong-arm tactics, political manipulation and, more than anything, the use of poverty and hunger as a threat against those questioning big mining development.

It came as no surprise when, in early 2006, Barrick Gold announced a new gold mining project high on Mt. Famatina in the neighboring province of La Rioja. The governor of La Rioja, Ángel Maza, like Gioja, was a key ally to mining firms in the neoliberal "reforms" of the 1990's: He and other officials worked alongside former President Carlos Menem, mining companies and international finance organizations to privately rewrite the mining codes of the country, handing transnational mining companies breathtaking incentives, tax breaks and legal protection and environmental impunity for their extractive projects. Among the authors of these mining code reforms are the current governors of San Juan, Catamarca, La Rioja and Tucumán, as well as the current national Secretary of Mining Jorge Mayoral. It should be noted that the Kirchner government, down to Secretary of Environment Romina Picolotti, solidly advocates in favor of the process transnational mining insertion begun by Menem.

Gov. Maza had ruled La Rioja with an iron fist, and was looking forward to an unprecedented fourth term in office. During that time Barrick Gold was distinguishing itself throughout the world for a the destruction, contamination and death left in the wake of its mining projects in Rwanda, Tanzania, South Africa, Australia, Nevada and Peru. The links between Barrick Gold founder Peter Munk with Augustus Pinochet, Iran-Contra arms and drug trafficker Adnan Khashoggi, George Bush Sr., the Carlyle Group and even Bin Laden have been documented in depth. At the same time, In La Rioja, Gov. Maza "somehow" became co-owner of the YAMIRI (YACIMIENTOS MINEROS RIOJANOS S.A. - http://www.yamirigold.com) and the formerly state-owned mining concessions on Mt. Famatina, a property which he was to later pass on the Barrick Gold.

Barrick on Mt. Famatina

With their announcement of exploration activities on Mt. Famatina, Barrick entered into La Rioja in 2006. Barrick Gold sent in their "insertion teams" to conduct public relations activities in schools, universities, and media outlets. They presented a discourse of "responsible mining" and "sustainable development." These teams began to offer donations to medical clinics, schools, community and business groups. This insertion strategy to buy "social license" is the modus operandus of deep pocket mining firms who force huge long-term profits for a minimal investment.

Mt. Famatina is an impressive 19,000 foot snow-capped mountain which supplies water resources to an entire region dependent upon agriculture for its highly esteemed wine, olives, walnuts, fruit and vegetables, livestock and a small but growing tourism industry.

Famatina Cannot Be Touched!

When the first Barrick SUV's began to ply the dusty roads of La Rioja, community members grew nervous, and they got busy. A group of four women met in the town of Famatina in March of 2006 and formed the "Self-Organized (Autoconvocados) Neighbors of Famatina for Life." They opted for a "horizontal" grassroots form of organization, used effectively in many community struggles in Argentina, where decision-making process is shared among all. Soon a series of smaller, inclusive groups sprung forth in towns and villages around Mt. Famatina: Autoconvocados, neighborhood assemblies from Famatina, Chilecito, Pihuil, Chañarmuyo, Los Sauces and others, joined forces, putting politics aside and, concentrating on the important issues at hand: Learning about and spreading the word about open-pit mining, and the environmental, social, cultural and economic consequences of modern mining projects.

Groups of autoconvocados met with other community groups struggling against similar mining projects throughout Argentina, in Mendoza, Esquel, San Juan, Catamarca. Word was passed through community meetings, local newspapers, flyers, tabling and town hall meetings. Residents gathered with agricultural producers, tourism guides, teachers and local political officials to talk about mining threats to the delicate glacier systems. They looked at the avenues they had chosen towards the sustainable development of the region, all dependent upon the health of Famatina. These producers, teachers and workers in turn met with their organizations and took their message to the capital of La Rioja: "If the mines are built, we cannot produce, and what little we do produce will be contaminated and we will not be able to sell it."

Unlike San Juan, La Rioja has a history of mining: The mining ruins of La Mejicana on Mt. Famatina are an ugly testament to this history. Says autoconvocada Carina Díaz: "In the early 1900's they built the second largest cable mineral transporter in the world, the first National Bank in Chilecito, and a railway, all paid for by the State so the English could haul away the gold. They told us: Famatina will become rich. But no. We are more poor than before, and our river Amarillo is still contaminated with acid mine drainage."

Carina continues: "Now they come to tell us about 'sustainable and responsible mining' but we know it doesn't exist. Instead of tunnels, now they blow up entire mountains with dynamite, grind up the rocks, extract gold with cyanide and acids, using tremendous amounts of water. They take the gold and the rest is called "tailings." The tailings and overburden are the remains of our destroyed mountain, which will continue to drain acids and heavy metals for thousands of years and contaminate everything, after leaving us without any water. What is sustainable about this?"

As the journal "La Vaca" points out, "in Argentina, anything is possible:" The national government sent geologists to schools and institutions explaining that cyanide is "biodegradable," that acids and heavy metal contamination would be safely contained, forever, by thin plastic membranes under billions of tons of rock.

The autoconvocados continued their outreach strategies, and began to carry out pickets and road blockades of routes to call attention to their message. Anti mining activists toured Famatina and participated in spreading news and information. On a few occasions autoconvocados suffered attacks from police and anonymous thugs. Meanwhile independent press members investigated into the "carnal" relation that Gov. Maza had with Barrick Gold, and allegations began to surface.

Legislation to Ban Open-Pit Mining

These allegations of corruption came at a time of growing political divisions in the capital of La Rioja. Vice Governor Beder Herrera, perhaps because of a change of core beliefs, or perhaps of political opportunism (only time will tell) began to champion the demands of the autoconvocados, whom he had previously characterized as "piqueteros, subversives and bums." On March 8 2007, he introduced a bill in the Provincial Legislature to prohibit open-pit metals mining in the province. This bill, approved by the legislature, called for a binding public referendum on the question of open-pit mining on July 29, 2007. The autoconvocados, emboldened but mistrustful of the entire political process, decided to initiate a blockade of the mining camp at Peñas Negras.

The Fall of Governor Maza

Governor Maza said he would veto the bill (fellow governors in Mendoza and San Juan have done so to similar legislation). But he never got his chance: On the same weekend of March 11, the legislature passed a extraordinary measure to suspend Gov. Maza and bring him to trial for corruption. While mining industry spokespersons swiftly rose to decry the events and promised to fight any prohibition of their activities, Gov. Maza hunkered down in his office in the capitol building, refusing to leave. He and his party hired thugs, security guards and heavies to demonstrate, posing as Maza supporters. Some of these were personal heavies of Maza ally Governor Bussi (himself a torturer during the military dictatorship), sent in from the province of Tucumán. The hired rabble gathered outside the capitol building, preventing the lawful removal of the now ex-governor. They burned tires and a car outside Maza´s office. Gov. Maza had hired these heavies both to make it appear he had public support and to provoke a confrontation, with which he used to call upon the Executive government of Argentina to intervene to "maintain order."

The national government, however, didn't bite, effectively abandoning their former ally Maza. The next day, provincial police dispersed the "supporters" with tear gas and escorted the ex-governor out. When others entered, it was clear what had happened during the night: The Maza administration had carried out a systematic destruction of all the paperwork, burning of computers and files, of the Maza machine, along with all documents linking him to any improprieties. Also burned was paperwork for many public employees, causing a deliberate and malicious bureaucratic mayhem.

While all eyes were upon the incidents in the capitol, the autoconvocados were gathered in a quiet and orderly manner at the foot of Mt. Famatina and carrying out blockade of Barrick Gold's installations. Gabriela Romana of Chilecito said: "Here nobody wants disorder, because we are in the right. We don't want to give the federal government any excuse to intervene. Whoever intervenes the provience would veto the law prohibiting open-pit mining. Now we still have the chance that Beder will carry out what he himself voted for last Saturday."

Upon taking power, on March 11, the new Governor Beder Herrera pledged his allegiance to President Kirchner, and declared that a new elections would take place in the coming July. The law prohibiting open-pit metals mining with cyanide or other toxic substances now awaits now-Governor Beder's signature, and ratification by public vote on July 29th.

The Blockade Continues

The autoconvocados are watching the politicians with a suspicious eye. Beder appears to support the autoconvocados, but this is not a reciprocal relationship. "We are not with any politicians nor are we going to play a role in the upcoming elections," says Gabriela, and every asambleista who is asked. They all hope that Beder will keep his promise, but "they are all politicians," warns Carina, "and we are learning to not trust all of them. This is why in our assembly we decided to maintain the blockade for an indefinite time in Peñas Negras until Barrick Gold is gone for good, and until the government puts into effect the law which the Legislature has approved."

The journal "La Vaca" asks a good question: If politics is to be understood as the intervention in the public search for public good, and the debate and solution of truly important problems, it is interesting to ask if in this week, where were real politics taking place: In the provincial capital or in the assemblies at the foot of Mt. Famatina?

As of this day, Barrick Gold's work delegation has been reduced to two persons, security guards posted at company offices. Over thirty employees have descended and 8 or nine SUVS and trucks have left. Barrick Gold has released a statement saying that the Famatina project is no longer a priority, as they are concentrating on their other projects in San Juan and now Mendoza. They have pledged to remove the heavy machinery still at the camp within a week. Nobody believes them. "They always say these things, pretend to leave and then stay." Word has it that Barrick plans to open a new road from the town of Chilecito to the mountain "If that is the case, then we will block that road too. No problem." says Carina. And this week Barrick has said on the radio that it intends to go ahead with plans on Famatina. On the exact day of the good news from La Rioja, in San Juan, Gov. José Luis Gioja denounced the prohibition against open-pit mining, along with Kirchner's Secretary of Environment Romina Picolotti, as "irrational." Gioja then proudly announced that San Juan would be the site an entirely new source of environmental contamination, the likes of which Argentina still hasn't seen: Barrick Gold is to build a massive gold, silver and copper smelting factory, in 2009 in San Juan. Perhaps now the Autoconvocados of San Juan will need to communicate with their brothers and sisters in La Oroya, Perú, site of the Doe Run smelting plant, one of the ten most polluted places on Earth.
 
Lakini baadhi ya wapinzani tunaowategemea nao wameshanunuliwa na hawa watuhumiwa wa ufisadi, je kunani hapo??
vipi kuhusu membe na kauli zake zenye utata na kwa jinsi alivyokuwa mstari wa mbele ktk mkutano wa sulivan huku mwenye dhamana (Nagu) akialikwa kama mgeni... je naye ana ajenda zake??? maana nchi hii imegeuzwa kama mti wa matunda mwituni kila mtu anajichumia anajilia kivyake kwa wakati wake....

Msanii naona wamehamia Zanzibar kwenye MUAFAKA mara baada ya majeshi ya Sinclair kuretreat huku JK akiwa hana la kufanya!

Sasa naona kuna ujumbe kutoka kwa Migiro....Sasa sijuwi yeye ndiye chaguo la Marekani ama vipi...Ila hiyo inayitwa "Likizo" NI MUHIMU SANA KWETU...!

Kwani kuna kitu lazima kitatokea kabla ya mwisho wa August.

Either HAKI ma vyovyote...It remained to be seen!
All i can say is we should remain vigilant.
 
hii ni changa la macho tu manake vasco hana ubavu wa kumtema king sinclair aka so-called leopold wa tz. mwezi ujao amekaribishwa kuja kushangashangaa wakati anapata dinner hapo nyumba nyeupe na for sure anakuja kuwa indoctrinated fully into anotha puppet mobutu or nguema. tukubali ya kuwa watanzania hapa tumeiibua galasha la mavi ya mbuzi..!
 
hii ni changa la macho tu manake vasco hana ubavu wa kumtema king sinclair aka so-called leopold wa tz. mwezi ujao amekaribishwa kuja kushangashangaa wakati anapata dinner hapo nyumba nyeupe na for sure anakuja kuwa indoctrinated fully into anotha puppet mobutu or nguema. tukubali ya kuwa watanzania hapa tumeiibua galasha la mavi ya mbuzi..!


Ether nakumbuka tulikuwa wote kwenye ule mjadala wa Zimbabwe.

Sasa kama unafuatilia thread zangu utagunduwa kuwa pesa za URANIUM YA IRAN na ugaidi mwingine uliokuwa ukifanywa chini ya uongozi wetu kwa kushirikiana na mafisadi wengine na labda pengine Rostam walikuwa wakiyafanya makao makuu ya benki na fedha zao hapo Zimbabwe...Kwahiyo unaweza kuona chain yote kama wewe ni mchambuzi yakinifu.

Interests ziko nyingi lakini tatizo hawasemi wao wanaleta siasa...Sasa sisi hapa jf tunaadika history!
Waafrika tumekuwa tukija kushtukia ikiwa too late na kubakia tu kusoma History.

This time around tumepata kizazi chenye uwezo wa kudetermine the current situation ili history ya kizazi kijacho kuhusu sisi iwe ni yenye kuwafanya wawe PROUD ya kuwa WAAFRIKA popote pale DUNIANI!

Kwanza hata waafrika walitakiwa wawe wa kwanza kupewa kazi mahali popte pale duniani kwani kama si Afrika...Dunia HAKUNA!
 
Mbeki: Afrika imeangushwa na wasomi

na Ratifa Baranyikwa

RAIS wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki, amesema wasomi barani Afrika, hawatakiwi kulalamikia matatizo yaliyopo, kwani wao ndio chachu ya suluhisho ya matatizo hayo.

Akizungumza katika mdahalo uliofanyika juzi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Rais Mbeki aliwapa changamoto wasomi nchini, nao kuacha kulalamika na badala yake watoe mchango wao katika kushughulikia matatizo.

Alisema wasomi nchini ndio wana jibu sahihi kuhusu matatizo yanayotokana na umaskini. Alisema thamani ya vyuo ni kutoa fikra zitakazowezesha kuchangia shughuli za maendeleo na kuwataka wasomi hao kufanya tafiti kuhusu hali za nchi zao katika kushughulikia matatizo ambayo yanazikabili.

Mbeki alisema Tanzania na Afrika Kusini wanaweza kukaa pamoja na kutafuta suluhisho kuhusu tatizo la umaskini na matatizo mengine ambayo yanakwamisha maendeleo ya kiuchumi iwapo wasomi watafanya ipasavyo yale wanayopaswa kuyafanya.

“Nchi zetu zina maliasili nyingi za kutosha kama maji, madini na kadhalika, sasa tunazitumiaje maliasili zetu katika kuzungumzia umaskini, ndilo jambo ambalo wasomi wanatakiwa kutoa mchango wao. “Tumekuja kwa wasomi kusema nini tufanye kuhusu maliasili zilizopo Tanzania, hii ni changamoto, nyinyi kama wasomi kushirikiana na serikali zenu,” alisema Mbeki.

Alisema kama nchi za Afrika ziliweza kuwaondoa wakoloni, sasa ni wakati wa kuondoa umaskini kwa kutumia maliasili zilizopo, lakini pia kwa mchango wa watu wenye ujuzi ambao ni wasomi.

Mbeki alisema hivi sasa nchi hizo mbili zimeanzisha ushirikiano ambao una lengo la kuleta maendeleo na kusema kuwa, katika mkutano wake na Rais Kikwete (uliofanyika juzi kabla ya kuhutubia wanafunzi wa chuo hicho), nchi hizo zilikubaliana kuanzisha Tume ya Maendeleo ili kupambana na umaskini.

Mbeki ambaye aliingia katika ukumbi wa chuo hicho wa Nkuruma majira ya saa 9 alasiri, alihutubia kwa muda wa saa mbili bila kupumzika mbele ya umati wa wanafunzi waliojaa kupita kiasi na kuwalazimisha baadhi yao kusikiliza mdahalo huo wakiwa nje ya ukumbi.

Alisema: “Hatuhitaji watu wengine kutoka nje kuwa waangalizi katika mambo yetu ya kimaendeleo, Waafrika wenyewe tunapaswa kuwa waangalizi wa masuala yanayohusu nchi zetu.”

Aidha, Rais Mbeki alisema kati ya matatizo ya kiuchumi ambayo viongozi wa Kiafrika wanatakiwa kuyavalia njuga, ni biashara. Akita mfano, alisema kiasi cha dola za Kimarekani milioni 500 zilipaswa kukusanywa kutokana na mauzo ya Tanzania nje ya nchi, lakini takwimu zilizopo zinaonyesha kuwa kiasi kilichokusanywa ni dola milioni nane tu.

Alisema hii inatokana na uchimbaji na usafirishaji wa madini hayo, ambao si halali na kutokuwa na uhalali wa kuuza madini hayo nje. Alisema kwa mantiki hiyo, mchango wa wasomi hasa wa kifikra, ni muhimu sana kwa serikali zao kwa kushauri nini kifanyike kutokana na nchi zao kuwa na maliasili nyingi ambazo hazitumiki ipasavyo.

Mbeki alikuwa ameambatana na balozi wa Afrika Kusini nchini, pamoja na mawaziri kadhaa wa Afrika Kusini akiwemo Waziri wa Viwanda, Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Waziri wa Kilimo, Waziri wa Mambo ya Nje na mshauri wake wa mambo ya sheria.

Wenyeji wake aliokuwa ameongozana nao ni Waziri wa Elimu ya Juu Sayansi na Teknolojia, Profesa Peter Msola pamoja na Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko, Basil Mramba.

Akimkaribisha Rais Mbeki awali, Makamu Mkuu wa Chuo hicho, Profesa Rwekaza Mukandala, alimshukuru Rais Mbeki kwa kutenga muda wake na kukutana na wanafunzi hao na kutambua mchango wa wasomi.

Wakizungumza na gazeti hili baada ya hotuba hiyo, baadhi ya wanafunzi walisema kuwa, alichokisema rais huyo ni changamoto kwa serikali, pia kuhakikisha kuwa inaboresha elimu nchini.


Tanzania Daima: 7 Aprili 2007
 
Mhe Zitto,
Asante kwa hii ripoti. Naona wameshachukua pia mbuga zetu za wanyama. Na hizo Confidential Agreements ni kati ya nani na nani?
 
Mhe Zitto,
Asante kwa hii ripoti. Naona wameshachukua pia mbuga zetu za wanyama. Na hizo Confidential Agreements ni kati ya nani na nani?

CAs ni mikataba kati ya Tanzania royalty na Makampuni ya madini kuhusu mipango yao iwapo explorers wakifanikiwa kupata madini na kujenga mgodi inakuwaje? Sasa jamaa anazo saba hizo na makampuni ya madini.

Nasikia, ukujumlisha mineral rights zote za huyu Sinclair eneo lake ni sawa na Mkoa wa Kilimanjaro....... wengine wanasema sawa na mkoa wa Mwanza
 
Nasikia, ukujumlisha mineral rights zote za huyu Sinclair eneo lake ni sawa na Mkoa wa Kilimanjaro....... wengine wanasema sawa na mkoa wa Mwanza

Kina nani hao wanasema? hujawahi kuhusika na kamati au tume yeyote ya madini? Hapa inamaanisha hata wewe hujui ukubwa wa eneo ambalo Sinclair ana mineral rights?
 
Kina nani hao wanasema? hujawahi kuhusika na kamati au tume yeyote ya madini? Hapa inamaanisha hata wewe hujui ukubwa wa eneo ambalo Sinclair ana mineral rights?

Bwana bwana, mi kwa kweli ndugu yetu Zitto huwa saa nyingine namshangaa sana.

Hilo hapo ulilosema kwamba hajui kuhusu details za umiliki Zitto atakwambia ni mpaka Kamati teule ya Bunge ndio inaweza kufukua hizi details. Kamati yake, kamati ya Rais haiwezi! Kwa kweli mimi nilishaona Zitto kama ni typical politician, usitegemee changes.

Mwaka jana mwishoni Zitto alitoa a ringing endorsement kwa Ngeleja, anasema Waziri anafanya kazi nzuri. Mimi nikasema, Zitto sasa hivi anatakiwa awe anafuatiliana utekelezaji wa mapendekezo ya Tume yake, sio kumu endorse endorse Ngeleja wakati Kikwete mwenyewe anamgombeza gombeza hadharani kila wakikutana. Zitto bana!
 
Last edited:
The question is what is going to be done about this? Are we going to continue to sit back and watch our country being looted?

:mad:
 
Kina nani hao wanasema? hujawahi kuhusika na kamati au tume yeyote ya madini? Hapa inamaanisha hata wewe hujui ukubwa wa eneo ambalo Sinclair ana mineral rights?

no authoritative data and for Bomani kamati haikuwa ktk hadidu rejea. mineral rights nchini (exploration) ni nyingi sana. Kupata ya kampuni moja ni kiasi cha kukaa na kujumlisha. 85% ya nchi ipo under exploration
 
Haya makapuni kutoka mataifa ya kibeberu,yanazidi kutudumaza kiuchumi.MNc's zinatumia hata diplomatic pressure ya nchi zao ili kuzidi kutunyonya.

Ndiyo maana namzimia Gadaffi,kwenye ishu ya mafuta huko Libya.Angalia mtindo wa uwekezaji alioufanya. Si lazima tupange mineral revolution ndiyo tufanye vyema.

Sekta ya madini ikipangwa na kutumika vyema,inaweza kutusaidia tukapata mtaji mkubwa wa kujenga domestic industries ili angalao katika matumizi ya factors of production,tuwe na kitu cha kujivunia hapo baadae.We are not late
 
Back
Top Bottom