James Sinclair: A Friend or Foe?

MMK Thanks. Wameulizwa ndani ya Ukumbi wa Bunge, wamekwepa kulijibu. Iwapo Serikali haitoi majibu na sisi tusisubiri majibu yao kama tunafahamu kilichojiri. It is a challenge wakiona tunapata majibu kwa njia zetu,nao watajifunza kuwa Transparent, ndizo njia tulizotumia kuweka pressure kwenye ufisadi. Ni very effective. Mwenye Mali hutakiwi kusubiri uliyempa mdhamana akupe taarifa. Kama hataki nawe tafuta kwa njia zako.
 
Inatakiwa critical thinking and analysis kabla hatujasifia Repoti ya Kamati ya Bomani. Issue siyo uzuri wa Repoti ya Bomani au hata content yake. What is the main difference between Kamati ya Bomani na ya Masha au ya Kipokola? Hizo hazikuwa nzuri ndiyo maana ziliwekwa kwenye Shelf na hapakuwa na utekelezaji japo Kamati hizo pia zimetumia fedha nyingi za Walipa kodi kama ilivyo kwa Kamati ya Bomani? Huu ugonjwa wa kuunda kila mara Kamati panapotokea jambo japo Taarifa za Kamati hizo hazielekei kufanyiwa kazi na wala hakuna anayezifanyia monitoring utaisha vipi na lini? These are core issues kabla hatujasifia hizi Repoti. Tusiingie kwenye mtego wa kusifia na hatimaye tukaumbuka kwa kukosa utekelezaji na Taifa likakosa matokeo yanayotegemewa. Niamini kwa dhati mjadala kwa sura hii utasukuma sana usimamizi wa utekelezaji wa Taarifa jambo lenye Tija zaidi kuliko kuisifu per se, kwa vile hata ya Taarifa ya Kamati ya Kipokola au ya Masha kwa walioziona hazina tofauti sana na Taarifa ya Bomani lakini tatizo ni kutotekelezwa hadi imeundwa Kamati ya Bomani . May be walionazo wanaweza kuwasaidia wale ambao hawakuziona ili zifanyiwe analysis jambo litakalosaidia Bunge kuwa na changamoto wakati wa mjadala ulioahidiwa.

Heshima Mbele Dr Slaa.

Nashukuru kwa mchango wako huu.

Kuna mapendekezo mawili ambao ningependa kusikia msimamo wako.

1)Je unakubali kuwa ripoti ya kamati ya madini inastahili kujadiliwa bungeni kama ambavyo wananchi walio wengi wangependelea sambamba na ile ya EPA?

2)Je vipi kuhusu maslahi ya wabunge wote yawekwe wazi ili uchangiaji wao kwenye mijadala hio yenye mustakabali wa Taifa uwe wenye UHURU na wananchi waweze kuona wazi kuwa maongezi yao ama maamuzi yao humo bungeni hayaendani na interests zao bali inerests za TAIFA?

Ni muhimu sana tujuwe interests za wabunge ili ku eliminate ile impression ya conflict of interests.

Juzi tu hata mbunge Mrope tumeshajuwa kuwa na yeye FISADI.
Na Kinana naye ni vivyo hivyo.

Sasa hapa wananchi wanataka tu deal na hii issue kihivyo.

Maoni yako vipi Mkuu?

Ahsante.
 
Mwelekeo ni mzuri wa mjadala. Lakini swala la Msingi ni Je Sinclair alipata wapi Repoti ya Kamati ya Bomani wakati ilikuwa imekabidhiwa kwa Rais na Wabunge wamepewa tu siku ya Bajeti ya Nishati na Madini? Je ni kweli kuwa Taarifa za Rasilimali za nchi yetu inaweza kuwa siri kwa Wawakilishi wa Wananchi (Bunge) na kwa Wananchi wenyewe ambao ndio wenye mali? Je katika nchi zao kina Sinclair wananchi wanaweza kunyimwa Taarifa muhimu kama hiyo, aidha directly au kupitia Wawakilishi Wao. Tusiporekebisha haya nchi yetu itaendelea kuathirika kwa miaka mingi ijayo na mwamko uliojitokeza utayeyuka kama maua kwenye jua kali. Mwenye kufahamu Sinclair alipataje Taarifa hii nyeti tunaomba atufahamishe.

Dr. Slaa,
Sinclair ni rafiki mkubwa wa JK. Na JK ni rafiki mkubwa wa Joseph Kahama,
Hata kama Sinclair hakuipata kutoka kwa JK kuna uwezekano mkubwa kuwa Joseph aliipata kutoka Ikulu.
 
Heshima mbele yako Mkuu Dr.Slaa,
Kwani bunge haliwezi likashinikiza hiyo report isomwe bungeni?
Hii report ni special kwa ajili ya rais peke yake? kama ndo hivyo zi anaweza akasoma na kuweka kwenye shelf na hakuna utekelezaji.
Je ile migodi waliyo pewa hawa jamaa wafyonze madini mpaka washibe BUNGE haliwezi kusimamisha na kuifungia ili kubadili sheria na kutunga sheria mpya za madini kama hazipo?Je mwongozo wa spika unaweza ukafanikisha hiyo report ikasomwa BUNGENI?
 
Mwenzao Mh Mwakyembe alishawaambia watanzania si mabwege tena kama wadhaniavyo. wasichukulie huu usemi kama mzaha ipo siku wataukumbuka. hata Kenya ya Kanu ilikuwa hivyo lakini wananchi walipoamua KANU leo iko wapi?? Wananchi walikuwa na matumaini makubwa sana na kikwete lakini kwa haya yanayotokea na utendaji wake imani yote imetoweka.
 
Mwelekeo ni mzuri wa mjadala. Lakini swala la Msingi ni Je Sinclair alipata wapi Repoti ya Kamati ya Bomani wakati ilikuwa imekabidhiwa kwa Rais na Wabunge wamepewa tu siku ya Bajeti ya Nishati na Madini? Je ni kweli kuwa Taarifa za Rasilimali za nchi yetu inaweza kuwa siri kwa Wawakilishi wa Wananchi (Bunge) na kwa Wananchi wenyewe ambao ndio wenye mali? Je katika nchi zao kina Sinclair wananchi wanaweza kunyimwa Taarifa muhimu kama hiyo, aidha directly au kupitia Wawakilishi Wao. Tusiporekebisha haya nchi yetu itaendelea kuathirika kwa miaka mingi ijayo na mwamko uliojitokeza utayeyuka kama maua kwenye jua kali. Mwenye kufahamu Sinclair alipataje Taarifa hii nyeti tunaomba atufahamishe.

Leo Kweli tunaomba uje kumjibu Dr Slaa kwani nina amini kuwa una uwezo wa kufanya hivyo ama hata kuchangia nini haswa msimamo wako kuhusu ripoti hii kukabidhiwa Sinclair pamoja na mizwengwe ya hapa na pale ili isisomwe Bungeni.
Ahsante.
 
Thanks wote. i) Ripoti ya Kamati ya Bomani imekwisha kubalika kujadiliwa Bungeni kwa Mujibu wa Kanuni. Hilo halina mjadala tena, isipokuwa kwa mujibu wa Kanuni za Bunge ni muda mwafaka ndio unatafutwa. Kanini zinahitaji Shughuli za Bajet ziishe kabla mambo mengine mathalan Hoja Binafsi, Hoja zilizowasilishwa mezani, Taarifa za Kamati nakadhalika kujadiliwa. Hivyo tegemeo wakati fulani kabla Bunge halijaahirishwa mwezi wa nane mwishoni itapatikana nafasi ya kujadiliwa Taarifa hii. Hoja yangu ilienda mbele zaidi, ya Bomani tunayo na itajadiliwa na Bunge. Vipi Ripoti ya Masha, ya Kipokola, ya Generali Mboma na kadhalika? Taarifa zao karibu zinafanana na zinatakiwa kujadiliwa kwa pomoja. Inahitaji good will ya Serikali kuziwasilisha Mezani ili ziweze kujadiliwa kwa mujibu wa Kanuni za Bunge. Hii ndiyo pressure niliyozungumzia.

ii) Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, kila anayetakiwa kuzungumzia hoja yeyote, lazima 'atangaze maslahi yake binafsi ikiwa ni pamoja na 'kiwango cha maslahi' hayo. Kanuni iko wazi, na ninategemea kuwa kila mbunge atakuwa mnyofu kutangaza maslahi yake. Ni kweli kuna tatizo kwani wabunge wengi wako kwenye biashara na au ni wajumbe kwenye bodi mbalimbali. Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kujadili bila kutangaza maslahi hayo, jambo ambalo kwa vyovyote litaathiri sana mjadala. Hivyo ninasisitiza kuwa Mbunge yeyote mwenye maslahi ni vema akatangaza mapema kwani tukigundua hakufanya hivyo tutatangaza hadharani na itakuwa 'embarassment isiyo ya lazima kama nilivyofanya mwaka jana 25 June. Nadhani nimeeleweka. Nitakuwa vijijini hivyo kuanzia kesho, hivyo sitakuwepo hewani hadi Jumatatu.Nawatakia maendelezo mema ya mjadala.
 
Thanks wote. i) Ripoti ya Kamati ya Bomani imekwisha kubalika kujadiliwa Bungeni kwa Mujibu wa Kanuni. Hilo halina mjadala tena, isipokuwa kwa mujibu wa Kanuni za Bunge ni muda mwafaka ndio unatafutwa. Kanuni zinahitaji Shughuli za Bajet ziishe kabla mambo mengine mathalan Hoja Binafsi, Hoja zilizowasilishwa mezani, Taarifa za Kamati nakadhalika kujadiliwa. Hivyo tegemeo wakati fulani kabla Bunge halijaahirishwa mwezi wa nane mwishoni itapatikana nafasi ya kujadiliwa Taarifa hii. Hoja yangu ilienda mbele zaidi, ya Bomani tunayo na itajadiliwa na Bunge. Vipi Ripoti ya Masha, ya Kipokola, ya Generali Mboma na kadhalika? Taarifa zao karibu zinafanana na zinatakiwa kujadiliwa kwa pomoja. Inahitaji good will ya Serikali kuziwasilisha Mezani ili ziweze kujadiliwa kwa mujibu wa Kanuni za Bunge. Hii ndiyo pressure niliyozungumzia.

ii) Kwa mujibu wa Kanuni za Bunge, kila anayetakiwa kuzungumzia hoja yeyote, lazima 'atangaze maslahi yake binafsi ikiwa ni pamoja na 'kiwango cha maslahi' hayo. Kanuni iko wazi, na ninategemea kuwa kila mbunge atakuwa mnyofu kutangaza maslahi yake. Ni kweli kuna tatizo kwani wabunge wengi wako kwenye biashara na au ni wajumbe kwenye bodi mbalimbali. Hivyo kuna uwezekano mkubwa wa kujadili bila kutangaza maslahi hayo, jambo ambalo kwa vyovyote litaathiri sana mjadala. Hivyo ninasisitiza kuwa Mbunge yeyote mwenye maslahi ni vema akatangaza mapema kwani tukigundua hakufanya hivyo tutatangaza hadharani na itakuwa 'embarassment isiyo ya lazima kama nilivyofanya mwaka jana 25 June. Nadhani nimeeleweka. Nitakuwa vijijini hivyo kuanzia kesho, hivyo sitakuwepo hewani hadi Jumatatu.Nawatakia maendelezo mema ya mjadala.

Kazi imeanza MH RAI..Samahani..Ulimi hauna Mfupa..Mh Dr Slaa!
Karibia niseme Mh Rais kwani nchi ni kama hata haina Rais na ni wewe huko hapa unatusikiliza!

Tuko nyuma yako na wabunge wengine wote wenye MASLAHI YA TAIFA LETU!

Narudia USEMI WANGU MAARUFU HAPA JF...

GOD WILLING..."WE THE PEOPLE" WE WILL BE VICTORIOUS...AND FREEDOM IS AROUND THE CORNER!

NB:Tunakutakia kila la kheri huko vijijini...Na tunawaombea Mungu kwani tunajuwa seriousness ya Yale yaliyoko mbele yenu!

Na pia muwe makini sana kwani kwa mafisadi issue hii ni kama THE MATTER OF LIFE AND DEATH..THATS HOW IT IS TO THEM!

Walivyojimilikisha si baadhi tu ya rasilimali..Bali hata UHURU WA MTANZANIA.

Pia kabla ya kampeni...Nimeamuwa kujitolea hata kama nitakuwa sija graduate..Nitachukuwa time off kuja kupeleka message vijijini.

Ahsante na Kila la kheri.
 
Kazi imeanza MH RAI..Samahani..Ulimi hauna Mfupa..Mh Dr Slaa!
Karibia niseme Mh Rais kwani nchi ni kama hata haina Rais na ni wewe huko hapa unatusikiliza!

Tuko nyuma yako na wabunge wengine wote wenye MASLAHI YA TAIFA LETU!

Narudia USEMI WANGU MAARUFU HAPA JF...

GOD WILLING..."WE THE PEOPLE" WE WILL BE VICTORIOUS...AND FREEDOM IS AROUND THE CORNER!

NB:Tunakutakia kila la kheri huko vijijini...Na tunawaombea Mungu kwani tunajuwa seriousness ya Yale yaliyoko mbele yenu!

Na pia muwe makini sana kwani kwa mafisadi issue hii ni kama THE MATTER OF LIFE AND DEATH..THATS HOW IT IS TO THEM!

Walivyojimilikisha si baadhi tu ya rasilimali..Bali hata UHURU WA MTANZANIA.

Pia kabla ya kampeni...Nimeamuwa kujitolea hata kama nitakuwa sija graduate..Nitachukuwa time off kuja kupeleka message vijijini.

Ahsante na Kila la kheri.


Warioba; Tusiruhusu Kashfa zitugawe

Na Yahya Charahani

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba ameonya dhidi ya utamaduni wa kuchafuliana majina ulioibuka miongoni mwa jamii kwa kuwa utakapokomaa utasababisha wananchi kusahau mambo ya msingi na kusababisha vurugu.

Akizungumza jana ofisini kwake Oysterbay, Dar es Salaam Jaji Warioba alisema, amestushwa na utamaduni huo ambao unaonekana kukomaa kiasi cha kumgusa mtu muhimu kama rais.

"Nimeulizwa maswali mengi baada ya kutoka 'orodha ya mafisadi', nimeipata, lakini ninachoweza kusema hakuna jipya katika orodha ile, zaidi ya kupakana matope, kwani orodha ile inafanana kabisa kimtiririko tuhuma zake na orodha mbili zilizopita,"alisema.

Alisema ameona yaliyoandikwa katika ile orodha inayoitwa 'list of shame' mengine yamemstua sana, nchi ikifikia kumtaja rais ni fisadi imefika mbali, na kwamba mtu hawezi kutoa tuhuma kama hizo mpaka awe na ushahidi mzito usioacha shaka.

Alisema rais ni alama ya taifa na kwa maana hiyo mtu anapomtaja rais kuwa fisadi na kisha akaendelea kujigamba kuzungumzia juu ya hilo hatimaye ina maana hakutakuwa na uongozi wa taifa, itakuwa ni hatari.

Alitoa mfano kama tuhuma za namna hiyo zinaendelea ina maana kuwa wananchi wanaweza kukosa imani na serikali yao suala ambalo ni hatari na halitakiwi kufumbiwa macho.

"Unapomtaja rais kama fisadi unakuwa na unataka kufanya wananchi wakose imani na serikali yao suala ambalo ni hatari, wananchi watakimbilia wapi kama wanayetaka kumkimbilia naye anachafuliwa," alisema.

Hivi karibuni Mbunge wa Karatu (Chadema), Dk Willibrod Slaa, aliwataja vigogo 11 wengi wao wakiwa katika Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Nne kwamba ni mafisadi waliohusika na ubadhirifu wa mabilioni ya fedha za umma.

Miongoni mwa waliotajwa na Dk Slaa akishirikiana na Mwanasheria wa chama hicho, Tundu Lissu, ni makatibu wakuu wawili, mwanasheria pamoja na viongozi wengine waliokuwa katika serikali ya awamu ya tatu.

Dk Slaa aliwataja vigogo hao wiki iliyopita katika Viwanja vya Mwembeyanga, Temeke wakati akihutubia mkutano wa hadhara wa vyama vya upinzani katika mikoa 11 ya Tanzania, ikiwa ni kutimiza ahadi yake aliyoitoa mwezi uliopita katika Viwanja vya Jangwani jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia tuhuma, Jaji Warioba alishangazwa hata Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kutajwa katika baadhi ya ripoti wakati rekodi yake inaonyesha kuwa kafanya mengi mazuri, lakini taarifa zinazotolewa zimelenga tu kumchafua.

Kwa muelekeo ulivyo sasa alisema, inaonekana kwamba kuna njama na jitihada za makusudi za kuchafua majina na kisha kusumbua utawala uliopo kukimbizana na hoja za ufisadi wakati mambo ya msingi yakiachwa bila kutekelezwa.

Alishangaa kwamba kila kukicha viongozi wanatishia kwenda mahakamani suala ambalo linaonyesha kuwa viongozi wanatumia muda huu kujibu tuhuma badala ya kushughulikia masuala ya maendeleo ya taifa.

"Sikatai Mkapa ni binadamu anaweza kuwa na mambo yake, lakini siyo kiasi cha kufuta rekodi yake. Hivi kweli mtu unaweza kweli kufuta rekodi ya Mkapa kwa utendaji wake uliowezesha kushusha inflation ya asilimia 30 alipoingia madarakani hadi tano wakati anaondoka, kisha ukatoa tuhuma za jumla jumla tu, hivi nadhani si sawa," alisema.

Aliorodhesha miongoni mwa mambo yaliyofanywa na Rais Mkapa ikiwa ni pamoja na kuboresha huduma za afya, elimu, uchumi miundombinu na vitu vingine.

Kwa mtazamo wake alisema kuwa, baada ya uchaguzi mambo ya msingi ambayo sasa yangekuwa yakishughulikiwa ni pamoja na uboreshaji wa kilimo, kukabiliana na tatizo la bei za umeme kuwa juu, mfumuko wa bei na vinginevyo, lakini badala ya kushughulika na hayo, suala lililowekwa mbele ni kuchunguza dosari za viongozi.

Hata hivyo aliitaka jamii kutoacha kupambana na viongozi wala rushwa iwapo kunakuwapo ushahidi wa msingi na uthibitisho usioacha shaka, lakini jamii hiyo hiyo isitumie mwanya huo kujineemesha kisiasa.

"Sisemi kwamba viongozi wala rushwa wasiandamwe la hasha, waandameni iwapo mna ushahidi wa kutosha na msiishie kuwataja tu songeni mbele zaidi kuhakikisha haki inatendeka," alisema.

Pia alisema ni muhimu vyombo vya habari na jamii vikasisitiza katika kuwapo utawala bora, lakini si kwa kiwango cha kusahau vipaumbele vingine katika jamii.

Alisema inavyoonekana kama kuna jitihada za makusudi za kuchengesha mambo ya msingi kwa jamii yasishughulikiwe, ili suala liwe ni moja tu kukimbizana na tuhuma ambazo zinatolewa na kisha kutofuatiliwa.

Hali hii anasema Warioba kuwa huenda ikasababisha muda si mrefu masuala yaliyolisumbua taifa kipindi kilichopita yakarudia tena kusumbua, sababu mwelekeo unaonekana ni kukimbizana na kujibu tuhuma.

"Wiki chache zilizopita nilikuwa Mara kwa shughuli za uchaguzi, nikasikia kwenye vyombo vya habari Mungai analalamika watu wanampaka matope eti mara wanamwita si raia, inashangaza sana, hivi kweli mtu kama Mungai anaweza kuhojiwa vitu vya ajabu kama hivi, tunakokwenda siko," alisema.

Aliwachekesha waandishi wa habari pale alipojibu swali aliloulizwa na mmoja wa waandishi wa habari aliyetaka kujua kama alitumwa kutoa taarifa hiyo akajibu : "Sikutumwa na mtu, simo katika siasa, wala serikali mimi ni mtu huru hakuna mtu aliyenituma, nasema ninachokiamini."

Source: Mwananchi
 
Na ukitaka kujuwa wanasiasa na watu wa ajabu...Tizama maneno haya ya warioba na hao yaliyopita hapo juu kutoka gazeti la mwananchi.

KATIKA kauli ambazo zitawashitua watawala, Waziri Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba, amesema nchi ina viongozi dhaifu, umma unanyonywa, rushwa imeongezeka, wezi wa fedha za EPA waanikwe na Rais Msitaafu, Benjamin Mkapa akajibu tuhuma zake mahakamani.
Katika mahojiano maalumu na Raia Mwema, Warioba amesema kuna dalili ya kuwapo watu wakubwa nyuma ya kashfa ya fedha zilizopotea katika sakata la EPA na kwamba yaliyotokea ni wizi wa hali ya juu na baadhi wameghushi na kwamba hatua za kisheria ni lazima zichukue mkondo wake.


26.jpg

JAJI Warioba

“Niliyosoma hasa kutokana na taarifa ile ya Serikali, ukiisoma kwa makini unaona kuwa haukuwa ununuzi wa madeni, huo ulikuwa ni wizi wa fedha za umma,” anasema Jaji Warioba.
Anasema kwa mujibu wa taarifa ya Serikali, baadhi ya madeni si madeni bali kuna watu wametumia ulaghai kuchukua madeni ambayo yamekwisha kulipwa na wao kufanya udanganyifu kuyadai.
“Wapo ambao wamefanya hivyo kwa kughushi. Sasa kuna makosa mawili hapo. Wizi na kughushi, ni makosa mazito, na kama nilivyosema wakati ule ilipotoka mara ya kwanza, ukiona makampuni ambayo yametajwa si makampuni makubwa na mengi yake yaliundwa kwa kazi hii tu,” alisema katika mahojiano ambayo sehemu yake ya kwanza imechapishwa katika kurasa za 12 na 13 za toleo hili.
Akionyesha kuwapo kwa watu wakubwa nyuma ya wizi wa fedha za EPA, Warioba anasema biashara ya kununua madeni inataka mtu mwenye fedha na mwenye ujuzi wa biashara hiyo lakini makampuni yaliyoorodheshwa na serikali mengi yanamilikiwa na watu wa kawaida kabisa wasio na uwezo huo.
“Kampuni hizi ni ndogo, watu wenye kampuni hizi wameandikwa watu wenye majina ya kawaida. Kwa mtu yeyote mwenye busara atajua hii ni hadaa tu. Wanaoshughulika hawakujiandika kwenye kampuni hizi, wamechukua watu wengine tu. Kwa hiyo, kuna kazi, kuna kazi ya kuwatafuta hawa wazito waliokuwa wanahusika. Na kama ni wazito na wameingia katika wizi wa mali ya Taifa na kughushi, suala hili ni zito kuliko tunavyoliona,” anasema na kuongeza;
“Mimi naamini kama kweli tunaishughulikia kwa nguvu zote, EPA ni kubwa kuliko Richmond, kuliko haya yaliyotokea. Kwa hiyo tutangojea matokeo. Na hapa kwa kuwa walau ushahidi wa kawaida upo, taarifa zinasema zile nyaraka zilizowezesha madeni hayo kununuliwa ni za kughushi, basi unaanzia hapo. Ukihakikisha kwamba ni za kughushi, kwamba haya madeni hayakuwapo, ukithibitisha kwamba hili deni halikuwapo sasa huyo aliyechukua fedha hizo alitumia wapi?”
Alisema akiwa kama raia mwema wa Tanzania anasubiri kwa makini kuona matokeo ya EPA, na kuongeza kwamba kama kweli nia ya kusafisha ipo, ni lazima waliofanya makosa wapatikane na kushughulikiwa na si wale waliotangulizwa.
“Mimi sijui utaratibu wanaotumia. Lakini kwa utaratibu wa kawaida, mimi nilikuwa Mwanasheria Mkuu wa nchi, kwa suala hili la jinai unalishughulikia linakwenda mahakamani. Adhabu inatolewa pamoja na kurudisha hizo fedha, hilo ndilo nalitarajia,” anasema.
Anasema kwa kawaida hatua za kisheria ni lazima zichukuliwe na kwamba unapokwenda mahakamani unaweza kutumia sheria kurudisha fedha zilizoibwa hata ikibidi kufilisi wahusika.
Hivi karibuni timu iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete kushughulikia waliochukua fedha za EPA ilieleza wazi kwamba imekua ikipokea fedha kutoka kwa watuhumiwa kwa kile kilichoelezwa kwamba ni kuepuka kupoteza fedha hizo huku wanaozirejesha wakiendelea kuwa siri.
Timu hiyo ya Rais inaongozwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johnson Mwanyika, akisaidiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi, Saidi Mwema, na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Edward Hosea, wote wakisaidiwa na maofisa kutoka ofisi zao na kutoka asasi nyingine za umma.
Akizungumzia kitendo cha viongozi hao wa juu wa dola kufanya mazungumzo na watuhumiwa, Jaji Warioba anasema; “Kwamba hawa ndio kweli viongozi wa ngazi ya juu wa vyombo vya dola vinavyoshughulika na uhalifu wanafanya kazi hiyo. Imani yangu ni kwamba hawatapinda sheria. Wakipinda sheria tutakuwa tumeleta madhara makubwa sana kwa nchi hii. Kwa sababu wananchi lazima kwa upande wa sheria waamini ofisi ya Mwanasheria Mkuu, ni lazima waamini ofisi ya Mkuu wa Jeshi la Polisi, lazima waamini ofisi ya TAKUKURU.”
Warioba anasema watendaji hao wa dola wakipinda sheria, imani ya wananchi itapungua na hivyo ni jukumu lao ni kubwa, na kwamba yeye ana imani kwamba hawatapinda sheria.
Akizungumzia hali ya kisiasa ya nchi kutokana na kukwama kwa mambo mengi ikiwamo muafaka wa kisiasa Zanzibar na kuibuka kwa wimbi kubwa la tuhuma za ufisadi, Jaji Warioba anaonekana kutokua na imani na hali hiyo na anakiri kuwapo kwa udhaifu katika uongozi wa juu wa kitaifa.
“Kama nilivyosema, kila mtu ni kuzungumzia ufisadi, hata mafisadi wenyewe, maana ukiona wote hawa wanaozungumzia, huwezi kusema ni watu safi, pamoja na vyombo vya habari, navyo haviwezi kujisifu. Wengine wanaoandika juu ya ufisadi ndio hao hao waliokuwa wakichukua fedha za hawa, wanawaandika kuwa ni wazuri wakati wa uchaguzi. Walikuwa wakiwapamba. Kwa hiyo kuna wengine ni unafiki tu, ama ni ufisadi na wenyewe,” anasema.
Warioba anapongeza juhudi zinazofanywa na vyombo vya habari na wabunge katika mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi lakini anaonya vita hiyo isitumike kufunika madhambi yaw engine ama kuwaumiza baadhi yao.
“Sina hakika kama wote wamezinduka hivi. Jana walikuwa wanasema hakuna rushwa, hakuna ufisadi. Leo ndiyo wako msitari wa mbele wanatafuta mafisadi na ukiangalia zaidi ni viongozi. Na hasa wabunge ndio wanaongoza vita hii. Ni vizuri Bunge liongoze lakini je, tunawaamini wote? Kwamba nia yao hasa ni kumaliza ufisadi au kuna sababu nyingine?
“Ikifika mahali tuwaulize hawa ambao sasa wanaonekana wana uchungu sana na ufisadi. Mwaka 2005 tuliona yaliyotokea. Hivi ni wangapi ambao wako safi? Mwananchi akimwuliza mbunge wake, na hii inawezekana kwa zaidi ya nusu ya wabunge, kwamba mbona wewe ulikuja na fedha nyingi sana kwenye uchaguzi na wewe si tajiri, ulizipata wapi?” anahoji Jaji Warioba.
Anasema wamo wengi ambao ni sehemu ya uongozi, na hivyo isije tokea mapambano ndani ya uongozi yakageuzwa kuwa ni vita ya kweli kumaliza ufisadi.
“Mimi nataka niwe na uhakika tukifika mwaka 2010 tuweze kuchagua viongozi safi, tusipate viongozi ambao katika mchakato wa uchaguzi watakwenda na takrima kwa sababu kama wanakwenda na takrima wamezipata fedha hizo kwa ufisadi,” anasema.
Akizungumzia muafaka kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Wananchi (CUF), Jaji Wariona anasema tatizo kubwa ni mgawanyiko katika uongozi. Anasema wapo ambao hawataki muafaka wanaona njia ni kusema tupate maoni ya wananchi wakitarajia kwamba wananchi watakataa.

Kuhusu wanaotishia kurejea kwenye Afro Shirazi Party (ASP) kuliko kuingia katika Muafaka na CUF, Warioba anasema hivyo ni vitisho visivyo na maana katika mazingira ya sasa kwani hata wakiachwa hawana uwezo huo na kwamba tatizo kubwa ni udhaifu wa viongozi.
“Zaidi wanaosema warudi ASP ni watu wa Zanzibar, lakini nadhani pia kuna udhaifu katika viongozi Bara. Wakiisha kusikia madai hayo ya ASP, wanasema jamani waachieni mambo yao! Lakini haya si mambo yao, ni mambo ya nchi. Zanzibar ni sehemu ya Tanzania, likitokea tatizo Zanzibar ni tatizo la Tanzania. Hawa wanaosema waachieni haya ni mambo yao ni viongozi dhaifu,” anasema na kuongeza;
“Hilo ni suala muhimu, hapo ndipo uongozi unapohitajika. Huwezi kukwepa. Uongozi kazi yake ni kuamua mambo mazito, na wakati wote unaweza kuwa na wasiwasi, lakini unaamua kwa maslahi ya taifa. Hata kama katika kuamua huko unahisi kuwa kuna baadhi watakulaumu. Usiogope lawama, dira yako iwe kuwa hii ni kwa manufaa taifa ama hapana. Manufaa ya Taifa sasa hivi ni kumaliza mpasuko wa Zanzibar. Lolote linalohitajika kumaliza mpasuko huo ni vizuri viongozi wakachukua uamuzi, utakuwa ni mgumu lakini ni wajibu wao kuchukua uamuzi.”
Pamoja na kuonekana kukwepa kumshutumu Rais Mstaafu Mkapa, Jaji Warioba anasema kinga waliyonayo viongozi akiwamo rais ni ya kisiasa tu, na hivyo kwake yeye suala la kinga ya kisheria si tatizo bali ukweli na uhakika wa tuhuma zinazomgusa kiongozi husika na kwamba ni mahakama inayoweza kutoa uamuzi wa haki.
“Nimeona wanaandika na nimeona mjadala mkubwa tu unaolenga kwenye immunity. Mimi nafikiri suala hilo si la msingi kwa sasa hivi. Na mjadala unalenga kwamba aseme, naona si la msingi. Kwa sababu hatutaki kwamba huyu awe tried na vyombo vya habari. Maana hapa naona kama ni trial kwenye vyombo vya habari.
“Waseme ni kosa gani, amefanya kwa msingi wa sheria gani, sasa waendelee. Sasa mengi wanayosema ni ya kisiasa. Yakisemwa ya kisiasa unataka mtu awajibike kisiasa. Kama ni kosa la jinai, waseme amevunja wapi sheria, lakini kusema kweli mimi sioni kwa vyombo vya habari kusema yote haya na wanachotaka ni kwamba ajitetee, ajitetee wao ndio wamekuwa Mahakama?” anahoji Jaji Warioba ambaye amewahi kufanya kazi kwa karibu na Mkapa.
Warioba anasema vyombo vya habari vinataka kuwa Mahakama na akashauri kwamba kama kuna kosa alilofanya Mkapa ni vyema wakasubiri afikishwe mahakamani ambako atakuwa na nafasi ya kujitetea na kueleza upande wake.
“Immunity nasema sasa hivi siyo issue. Sema kosa lililotendeka. Anashitakiwa lakini wanasema hatuwezi kuendelea kwa sababu kuna immunity. Bila kusema kosa huwezi kufika kwenye immunity. Huwezi kuanza na immunity bila kuwa na kosa, kwa hiyo mimi sitaki kujiingiza katika mjadala wa immunity. Hii ni ya kisiasa tu,” anasema.
 
Date::7/12/2008
Kambi ya upinzani wafurahia waziri kuitosa serikali bungeni
Na Kizitto Noya
Mwananchi

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk Willibrod Slaa amesema kuwa, kauli ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha kwamba, Kampuni ya Deep Green Finance ilifunguliwa na kufungwa kwa agizo la serikali, imefungua ukurasa mpya wa mjadala wa ufisadi nchini.

Akizungumza na gazeti hili jana, Dk Slaa alisema, kauli hiyo imeondoa utata kuhusu mmiliki wa kampuni hiyo kwa kuwa imeeleza wazi kuwa, serikali ndiyo iliyohusika kuchota mabilioni ya fedha za wananchi kupitia akaunti hiyo ya Deep Green Finance.

Alisema, anamshukuru Waziri Masha kwa ujasiri wake wa kuitosa serikali na kusema ukweli, jambo ambalo litamsaidia (Dk Slaa) kutafuta mbinu mpya za kukabiliana na wizi huo unaochangia umaskini wa Mtanzania.

"Sisi tumeipokea kauli hiyo vizuri na tumemshukuru Waziri Masha kwa kuitosa serikali na kutuonyesha mlango sahihi wa suala hilo ambao hatukuujua," alisema Dk Slaa.

Alisema, Chadema haina shaka kwamba kauli hiyo ni sahihi, kwani haijakanushwa na serikali na hivyo kuichukulia kwa uzito unaostahili katika harakati zake za kutaka fedha hizo zirejeshwe.

"Kimsingi, sina shaka kwamba kauli hiyo ni sahihi, kwani haijakanushwa wala kutolewa ufafanuzi mwingine, hivyo nitaichukua kama ilivyo ili inisaidie katika vita vyangu dhidi ya mafisadi," alisema.

Alisema, kauli hiyo imemwonyesha adui halisi katika mapambano dhidi ya ufisadi na hivyo kurahisisha mapambano hayo kwa kiasi kikubwa, tofauti na zamani ambapo kazi ilikuwa ngumu kutokana na kutomjua mhusika halisi wa suala hilo.

Wiki iliyopita, baada ya kubanwa na wapigakura wake, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, alisema kampuni yake ya Uwakili wa Immma Advocate, iliifungua na baadaye kuifunga Kampuni ya Deep Green Finance kwa agizo la serikali.

Katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la Sokoni, Butimba nje kidogo ya Jiji la Mwanza, wapigakura hao walimtaka Masha ambaye ni mbunge wao, kueleza sababu zilizomfanya akubali kuisajili Kampuni ya Deep Green Finance Company, ambayo inadaiwa kuchota mabilioni ya shilingi kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kinyemela na baada ya kutekeleza ufisadi huo kuifunga ghafla.

Mmoja wa waliohudhuria mkutano huo, Peter Charles, mkazi wa Kata ya Butimba wilayani Nyamagana, alitaka kujua endapo Waziri Masha ni mmoja wa wamiliki wa Kampuni ya uwakili ya Immma, ambayo imetoa jaji kwenye serikali ya awamu ya nne.

Baada ya Waziri Masha kukubali, mwananchi huyo alimtaka waziri amhakikishie kwamba ni msafi na kwamba hahusiki na wezi wa mabilioni ya fedha za BoT wakati kampuni aliyoifungua imetajwa kuhusika na upotevu wa fedha hizo za EPA.

"Nashukuru kwa kuuliza swali hilo katika wilaya hii, ingawa swali umelipamba sana, lakini najua umelipata katika vigazeti, mimi ni Mkurugenzi wa Immma, lakini kwa sasa nipo likizo bila malipo, nalipwa posho na Immma. Kuhusu ujaji wa Mheshimiwa Mujulizi, yeye ameteuliwa na rais kutokana na taaluma yake ya sheria.

Ni kweli kampuni yangu ilisajili Deep Green na tukaifunga kwa maelekezo ya serikali. Immma haikuchota mabilioni, naomba ieleweke. Na hili, sijawahi kuficha ni kweli. Kampuni hiyo ya Deep Green baada ya kusajiliwa, ilifungwa kwa maagizo ya serikali ya Jamhuri ya Muungano," alisema Masha katika majibu yake.

Kampuni ya Deep Green Finance Co. Ltd ilianzishwa Machi 18, 2004 na kwa kipindi cha miezi minne, kati ya Agosti 1 na Desemba 1, 2005 inadaiwa kupokea jumla ya Sh 10,484,005,815.39 kutoka BoT. ??Kipindi hicho kilikuwa cha mchakato au kampeni za Uchaguzi Mkuu uliofanyika Desemba 14, 2005 na kwamba kuanzia Desemba 11 mwaka huo, hakuna fedha iliyoingizwa katika akaunti ya kampuni hiyo hadi Februari 27, 2007 ilipovunjwa kwa hiari ya wanahisa wake. ?

Wakurugenzi wake (majina tunayo), ambao wanadai kupokea fedha hizo katika mazingira ya kutatanisha mmoja ni kutoka New Zealand na wawili ni kutoka Afrika Kusini. ?

Wakurugenzi hao wote ni wakazi wa Afrika Kusini na ni maofisa au wafanyakazi wa Nedbank Ltd ya Afrika Kusini. ?

Kwa mujibu wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), wanahisa wa awali wa kampuni hiyo, walikuwa ni mawakili wawili Watanzania ambao pia ni mawakili wa Kampuni ya Tangold ambayo nayo imo kwenye orodha ya wanaotajwa kuchota fedha BoT. ?

Taarifa za kibenki zinaonyesha kwamba, Mei 1, 2004, Deep Green Finance ilifungua akaunti Na. 011103024840 katika tawi la Corporate la Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Dar es Salaam. ?

Siku ya ufunguzi wa akaunti hiyo ilikuwa Siku Kuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi) na ilikuwa mapumziko na kwamba, kampuni hiyo iliruhusiwa kufungua akaunti bila kuingiza wala kutoa fedha kwa zaidi ya mwaka mmoja, kuanzia Mei Mosi, 2004 hadi Julai 31, 2005. ?

Kampuni hiyo haikuwepo kwenye orodha ya taasisi za kifedha iliyotolewa na Benki Kuu Agosti 21, 2007 ili kuonyesha kwamba imesajiliwa. ?

Kampuni nyingine ya Tangold, kama ilivyo kuwa kwa kampuni ya Deep Green Finance ilifunguliwa siku ya Sikukuu ya Mwaka Mpya ambayo ilikuwa mapumziko, Januari Mosi, 2003 kwa akaunti Na. 011103024852 NBC tawi la Corporate.
 
Haya maajabu sasa...Yani Balozi wa Canada karidhika na kazi za kampuni za Canada kabla hata hawajawauliza wananchi kama na wao wameridhika?
Yani kweli balozi wa nchi za kigeni anaridhika na manufaa ya mali zetu kabla sisi wenye mali hizo kufanya hivyo?
Ama anaridhika kwa niaba yake yeye,Sinclair na JK?


Balozi Canada ataka kampuni za madini kuiga toka Barrick

2008-07-13 22:19:20
Na Njonanje Samwel


Balozi wa Canada nchini, Bi. Janet Siddall amefurahishwa na juhudi zinazofanywa na mgodi wa Barrick wa North Mara kushirikiana na wananchi wa vijiji vinavyozunguka mgodi huo katika shughuli mbali mbali za maendeleo.

Pia Balozi Siddall amesema kuwa yale aliyoyaona wilayani Tarime ni tofauti na ambavyo vyombo vya habari vimekuwa vikiripoti mara kwa mara kuwa eneo hilo limetelekezwa na kuwataka wawekezaji wengine kuiga mfano wa kampuni ya hiyo ya uchimbaji madini.

Balozi Siddall aliyasema hayo jana wakati alipofanya ziara ya kutembelea mgodi huo uliopo wilayani Tarime mkoani Mara.

Alisema ushirikiano ulionyeshwa na wanavijiji hao pamoja na mwekezaji huyo ni wa kuigwa.

``Ni vizuri kwa wawekezaji wengine nchini kushirikisha na wananchi katika kuhakikisha wanatumia rasilimali zilizopo ili kuwa na miradi endelevu ya maendeleo hata baada ya uwekezaji kukoma,`` alisema balozi Siddall.

Katika ziara hiyo alipata fursa ya kukutana na vikundi vinne vya wajasiriamali vinavyopewa msaada na mgodi wa North Mara.

Vikundi hivyo ni vile vinavyojishughulisha na shughuli za ujasiriamali kama kudarizi nguo, ushonaji na utengenezaji batiki, utunzaji watoto yatima, vikundi vya wasiojiweza wanaopatiwa misaada ya elimu pamoja na kikundi cha vijana kinachopatiwa mafunzo ya utaalamu mbali mbali wa usanifu na ufundi mchundo.

Pia alipata fursa ya kutembelea chama cha akiba na mikopo cha Mara Saccos.

Kikundi hicho kina wanachama 200 na mataji wa Sh.milioni 120 na kinatoa huduma kwenye kata tano zenye watu wapatao 68,000.

Katika kipindi cha miaka mitatu, mgodi huo umetumia kiasi cha dola za Marekani 360,000 (zaidi ya sh. mil 360) kwa shughuli mbali mbali za maendeleo ambapo kiasi cha watu 120 hufaidika na shughuli hizo kila mwezi.




Moja ya Miradi hiyo ni ule wa ujenzi wa shule ya msingi ya Nyabichune, misaada kwa wajasiriamali, ada ya shule kwa wanafunzi wanaojiunga na sekondari pamoja na ujenzi wa shule ya sekondari ya Ingwe iliyopo kata ya Kemambo wilaya ya Tarime.
  • SOURCE: Nipashe
 
Land of Lobby
What kind of changes do you think need to happen when it comes to lobbying in America that would help level the playing field for all those interested in being heard by government?
Print the class
Backgrounder: The Land of Lobby
Political folklore has it that the term "lobbying" originated during the presidency of Ulysses S. Grant, when, brandy in one hand, cigar in the other, the former general would plant himself in the lobby of his favorite hotel and wait for the public to come offering and asking for favors ... [more]


Class Is in Session...

Over the past five years, the number of lobbyists in Washington has doubled to nearly 35,000; the yearly amount spent on lobbying has increased by nearly a billion dollars to $2.3 billion; and today more than 230 former congressmen, now lobbyists, continue walk the halls of the Hill, attempting to influence the way current congressmen vote. Is there too much lobbying going on? What happens to democracy when so much money and effort are poured into selling the agendas of special interests to our elected officials?
"Congress has always had, and always will have, lobbyists and lobbying," says former Senate Majority Leader Robert Byrd. "We could not adequately consider our workload without them." But he also stresses the need for vigilance. "The history of this institution demonstrates the need for eternal vigilance to ensure that lobbyists do not abuse their role, that lobbying is carried on publicly with full publicity, and that the interests of all citizens are heard without giving special ear to the best organized and most lavishly funded."
To be clear, not all lobbyists represent big business, not all of them are Abramoff-style operator and not all of them toe the line between legality and criminal corruption. In fact, most lobbyists are respectable folks legitimately conveying the interests of organized groups to those whose actions and votes have an effect on the way we live in America. They may represent churches, universities, charities, senior citizens groups or environmental concerns, or they may represent Enron or the Northern Mariana Islands. Basically, a lobbyist's job is to persuade lawmakers to view an issue in their clients' interest and will urge them to vote in a way that benefits their clients, whether that means more federal research contracts for a college in a congressman's district, more affordable drug prescriptions for the elderly or bigger tax loopholes for corporations.
For years, the reality has been that people must organize in order to have their voices heard in politics. From the very early days of Congress, citizens have joined together in order to lobby with greater efficacy: The representatives of shipwrights lobbied lawmakers on the effects of tariffs; merchants' lobbyists pushed for an end to the tax on molasses; federal clerks requested an increase in pay; military officers sought reimbursement for personal funds expended during the Revolution. In short, individuals with common interests banded together and selected someone to plead their case before Congress, the White House or any other body that had the power to influence the situation. And so lobbying became an efficacious and accepted form of political activity. (Read a history from lobbying from the U.S. Senate.)
Bill Moyers talked with Thomas Frank, author of WHAT'S THE MATTER WITH KANSAS: HOW CONSERVATIVES WON THE HEART OF AMERICA and Norman Ornstein of the conservative American Enterprise Institute and long-time Washington observer about the particular problems exhibited by the Abramoff scandal, and the general problems that perplex a political and campaign system that runs on money — a great deal of money. Ornstein is particuarly troubled by the "earmarking" process in which representatives can use a legislative manuever, without great oversight, to steer federal appropraitions monies to pet projects...and possibly to campaign contributors. (You can learn more about earmarks in the "Fixing the System" Citizens Class.)





You can find out how much money is being spent to lobby for the things you care about. Take a look here OpenSecrets.org to find out if you are being represented by a lobbyist in Congress. To see how many lobbyists are working in your state legislature, visit Public Integrity. Amazingly, in Washington, there are approximately 65 lobbyists for each member of the House.
By law, all registered lobbyists working on the Hill are required to publicly disclose which issues and bills they have worked on-in recent years, less than half of lobbyists have filed their disclosure forms in a timely manner, if at all. Increased scrutiny by both the public and oversight agencies could help the situation — especially in the age of the Internet. Watchdog groups fault the House for lagging behind the Senate. which maintains a broadly searchable database of electronic images of lobbying forms. [Read the report and find out about additional reform efforts.]

Big Money and Big Problems

There is no doubt: Lobbying is big business and it's growing. And choosing the right lobbyist can be very lucrative. For a relatively small investment in a lobbying campaign, corporations can receive a gargantuan return. THE WASHINGTON POST reported that one lobbying firm, the Carmen Group, calculated that for every $1 million its clients spend on its services, it delivers, on average, $100 million in government benefits.
Lobbyists and their firms contribute heaps of cash to political campaigns, attend or host fundraisers and even act as fundraisers and campaign treasurers themselves. According to the Center for Public Integrity, since 1998, nearly 80 members of Congress have tapped congressional lobbyists to serve as treasurers of their campaign committees and as leaders of their political action committees. Says Common Cause, "lobbyists raise campaign funds because they want to become indispensable to people in power, knowing that the service they perform will be rewarded by the access and influence they gain."
The following figures give a good idea of just how interlocking the worlds of politics and lobbying are:
232 former members of Congress are now registered lobbyists.
Nearly 40 members of Congress retain lobbyists as treasurers of their re-election campaigns or political action committees.
12 former registered lobbyists have been hired to work in various offices of the White House, sometimes formulating public policy about the various issues they once lobbied.
More than 1,300 registered lobbyists have personally given more than 1.8 million to George Bush over the last six years

The Revolving Door
Another issue of concern is the number of congressional staffers, executive staffers and former members of Congress taking highly lucrative jobs as lobbyists. According to a study by Public Citizen, 43 percent of eligible members of Congress who left office since 1998 have become lobbyists. During that same period, 273 former White House staffers also registered as lobbyists. While some see this as a logical move into a position where they can best apply their skills, it also raises concerns that tenure in Congress is just a stepping-stone toward a highly paid job as a lobbyist. In convincing Rep. Robert W. Ney not to run for re-election, House Majority Leader John A. Boehner (R-Ohio) reportedly told Ney that if he lost his House seat for the party, he could not expect a lucrative career on K Street-the avenue of the lobbyists.
Even though there is a one-year moratorium on taking a job as a lobbyist, members of Congress and staff often bypass the moratorium by joining lobbying firms as advisors and not registered lobbyists. Common Cause has called for an increase in the moratorium from one year to two years, and to expand the definition of lobbying. The plea agreements of both Congressman Bob Ney and his former Chief of Staff Neil Volz cite violations of the one-year waiting period. [Read the report and the Ney plea agreement (PDF).]
While "Capitol Crimes" looked primarily at the abuses perpetrated by Jack Abramoff, there have been at least half a dozen other politicians and lobbyists tainted by lobbying scandals this year alone. And with the large pot of lobby money, the growing cost of campaigns, the and lawmakers willing to trade favors for funding, it seems likely that-barring a major ethics overhaul-this kind of behavior will continue.
Discussion:
You’ve watched the documentary and read the accompanying materials. Come up with three government or lobbying reform ideas that if they had been instituted before the Abramoff scandal would have prevented it.
Take a pro and con position about lobbying: when is it a necessary part of the democratic process, when does it harm the democratic process? Can you envision a healthy democratic system without some form of organized lobbying?
What kind of changes do you think need to happen when it comes to lobbying in America that would help level the playing field for all those interested in being heard by government?
Print the class
 
Lobbysts..Kama ilivyo kwa mfano huo hapo chini...Wameweza kuinunuwa nchi na si viongozi tu kama kina Kikwete wenye kuwanyeyekea na kuwaomba malobysts...Bali hata wananchi wenyewe...Mfano halisi ni ROSTAM AZIZ AMBAYE PAMOJA NA MENGINEYO NI LOBYST WA RICHMOND.
Pamoja na SINCLAIR MWENYEWE ambaye na yeye ni mtindo huo huo wa Cigar on one hand ana Brandy on the other...
Backgrounder: The Land of Lobby
Political folklore has it that the term "lobbying" originated during the presidency of Ulysses S. Grant, when, brandy in one hand, cigar in the other, the former general would plant himself in the lobby of his favorite hotel and wait for the public to come offering and asking for favors ...
 
wametuvutisha bangi na sisi tumelewa

Ndio Upuuzi huo wa kuiga iga na kusikiliza washauri Hovyo ambao kumbe wana mipango yao.
Sasa niliwaambia kuwa hawa kina RA na SINCLAIR wameifanya nchi yetu muflis kwa kushirikiana na viongozi wasio na upeo kabisa... na wana nguvu kubwa sana tu kwasababu walitumia U lobyst wao kwa kufadhili kampeni kwa mamilioni ya dola na sasa wananyonya faida huku JK akikaa pembeni!
Na kama kweli hatafanya kitu basi ni hatari!
 
Mkuu JMUSHI
ni kuwa hadi sasa kuna dalili za kila namna kuiepusha ccm na hizi kashfa... hebu tujiulize, chama ambacho kimefisadi hata miradi yake yenyewe, kinapata wapi mijihela ya kuendesha chama kiukwasi mkubwa?? naamini kuwa wanachama wake (watiifu) waliopewa dhamana ya kuongoza ndio gateway ya chama kujichotea mijisenti kana kwamba wana hisa na nchi hii ili wale dividends....
huu ni uhuni, tena naufananisha na mauaji ya kimbari, kama unabisha nenda mahosipitalini ukashuhudie orodha ya vifo vitokanavyo na afya duni...
 
Cheki hapo chini..Sasa kama hao kina RICHMOND NA WENGINEO wakiwa na PLAN kama hizo hapo chini kweli sasa si utumwa ni nini?
Na nchi zetu zitakuwa vipi masikini na huku makampuni akipanga kuchota mabilioni kwa style ya kimafia kwa visingizio vya lobying?
Hapo work ethics zimeshakiukwa na kesi kama za hao kina Ken Ley na Abrahamof ni mfano hai kwa JK kuwashughulikia hao watu mara moja na ama yeye mwenyewe kuwajibika kama imekuwa mbaya na ni mambo ya kifamilia na ama kirafiki.
Hivyo basi tunaomba azingatie RIPOTI YA MADINI!

http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/09/08/AR2006090801610.html
http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/09/08/AR2006090801610.html
http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/09/08/AR2006090801610.html
http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/09/08/AR2006090801610.html
http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/09/08/AR2006090801610.html
http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2006/09/08/AR2006090801610.html
 
Mkuu JMUSHI
ni kuwa hadi sasa kuna dalili za kila namna kuiepusha ccm na hizi kashfa... hebu tujiulize, chama ambacho kimefisadi hata miradi yake yenyewe, kinapata wapi mijihela ya kuendesha chama kiukwasi mkubwa?? naamini kuwa wanachama wake (watiifu) waliopewa dhamana ya kuongoza ndio gateway ya chama kujichotea mijisenti kana kwamba wana hisa na nchi hii ili wale dividends....
huu ni uhuni, tena naufananisha na mauaji ya kimbari, kama unabisha nenda mahosipitalini ukashuhudie orodha ya vifo vitokanavyo na afya duni...

Ndio maana ni muhimu sana kwa issue hizi kujadiliwa bungeni haswa wakati wa mjadala wa ripoti zote.

Pia ni muhimu sana kwa wabunge kutaja interests zao kwenye makampuni yao kama kanuni za bunge zinzvyowataka.

Hapo ni muhimu sana kwani ni kweli wabunge wengi tu kama hata kina Mrope na Kinana wamegeuka Malobyst ambao kila kukicha huko bungeni wanafikiri ni kwa namna gani makampuni yao yatatunyona sisi wananchi kwa njia ya ubadilishaji wa sheria...Tatizo ni kwamba kanchi kame uziliwa mbali!

Noma ni wananchi nao ndani!
 
Back
Top Bottom