GIUSEPPE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 5,239
- 6,240
Lugha za kistaarab ni muhimu. Lazima CDM wajitofautishe na wanaowapinga. i.e Lucinde!
Hapo hakuna matusi wala nini, kwani panya matusi, ngoja wamakonde tikusikie.
Mbona huyo rais wenu wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa huwa anatoa vibom vya wazi kabisa, kamkanye yeye kwanza.