James Millya chunga kauli zako

James Millya chunga kauli zako

"Ndugu zangu tunamleta kamanda msofe, mchagueni akawashughulikie panya kwenye halmashauri yetu."

Kauli kama hizi zikiendelea zitakuja kukugharimu wewe pamoja na chama chako ulichojiunga juzijuzi. Au na wewe ulikuwa panya kabla ya kujiondoa CCM?

Funza.
 
aiseee ni kweli panya wamejaa sana katika halmashauri zetu!!!! na ulikwapa sumu hawafi, sumu pekee ni CHADEMA! kijana yupo sawasawa!!
 
Crucifix unamtisha Millya au ni mkwara tu? Yaani siku zote hujajua kuwa CCM hawana tofauti na mchwa, panya, mbwa hata viwavi? Hebu angalia nchi yetu inavyoliwa na kila mdudu huku ikidhalilika kuliko hata mbwa. Shame on you!
Mafisi, mbweha, nyang'au etc =CCM
 
Back
Top Bottom